mozambiqueone
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 232
- 119
Najua si rahisi sana lakini ni vema kama nchi ikapambana kujua vema na kuwaongoza wananchi wake:-
Maabara zitambue kwa makini chanjo hizo ziko na vitu gani hasa(content)
Tutafsiri kila kimoja na faida au madhara yake.
Bado dunia haikimbilii sana hizi chanjo.
Bado vifo vimeripotiwa kwa hizi chanjo.
Hivi nini kinaweza kuzaliwa na hizi chanjo.
Je, waliochanjwa sasa ni risk free au bado tuko sawa.
Rumours za impotence zikoje. Tujue kulinda kizazi chetu.
Maabara zitambue kwa makini chanjo hizo ziko na vitu gani hasa(content)
Tutafsiri kila kimoja na faida au madhara yake.
Bado dunia haikimbilii sana hizi chanjo.
Bado vifo vimeripotiwa kwa hizi chanjo.
Hivi nini kinaweza kuzaliwa na hizi chanjo.
Je, waliochanjwa sasa ni risk free au bado tuko sawa.
Rumours za impotence zikoje. Tujue kulinda kizazi chetu.