Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
kuumwa kichwa upande mmoja hasa komwe jicho moja likatoa machozi lenyeww pua moja ikatoa mafua yenyewe kisogo na sikio moja kuuma lenyewe hii inasababishwa na nini? yaani hivo nilivo vitaja huuwa vinauma kwa pamoja na niupande mmoja tu kiaai kwamba huezi fanya kazi yoyote mpaka umeze paracetamol kutuliza maumivu.