Wataalamu msaada tafadhali

Wataalamu msaada tafadhali

topr

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
700
Reaction score
654
Nawasalimu wanajamvi me ni mama Wa mtoto mmoja (nimeolewa) tatizo linalo nisumbua ni kuwa mkavu sana wakati Wa tendo la ndoa
Sio kwamba Mume wangu aniandai apana! ananiandaa vizuri tu ila nakua mkavu sana kiasi kwamba mpaka tutumie mafuta au mate,
Kunamuda najisikia vibaya na nilizani nikizaa tatizo litaisha lakini wapi,je wataalamu nifanye nn ili tatizo langu liishe nisaidieni wapendwa japo Mume wangu anadai anafurahia nilivyo.
Nihayo tu nawasulisha
 
jaribu kula sana ndizi na vyakula vingine vinavyoongeza maji ukeni
 
Acha kutumia mate.....


Tumieni ky au preseed

Anyway labda ndio maumbile yako...pole
 
Back
Top Bottom