Wataalamu na wenye uzoefu na kipimo cha ultrasound

Step by step

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2014
Posts
1,164
Reaction score
1,293
Jambo wadau.

Kuna mwanamke akihesabu tarehe za ujauzito wake mpaka leo ni wiki ya 27 na akiwa na wiki 8 alivyopiga utrasound ilisoma wiki 8 sawa sawa na hesabu zake za last period.

Sasa kuanzia utresound ilivyosoma wiki 8 mpaka leo hii inatakiwa iwe ni wiki ya 27 lakini tumeenda kupima tena imesoma wiki ya 30 manake imesogeza wiki 3 mbele.

Kwa wataalam hapo natakiwa kuamini ilivyosoma mara ya kwanza au hii ya pili manake zote mbili alifanyia hosp moja
 
Angalia usije ukabambikwa ujauzito. wanawake hawakawihii kupanua goli
nasikitika kuona hujasoma na kuielewa post yangu. Nimesema kwa mara ya kwanza tarehe tulizokua tunazijua sisi na tulivyoenda kupima utra sound vilionyesha sawa kabisa lakini baada ya muda utrasound inaonekana kusogeza wiki mbele tofaut na ilivyotuambia mwanzo ndo hapo nlitaka wadau watie neno je ishawahi kuwatokea hii sasa wewe unakuja na idea zako ukizani kila familia ina michezo yenu ya kijinga
 
Pole sana vizuri kwenda hospital nyingine kujiridhisha zaidi
 
Mara nyingine hata wataalam hukutana na case complicated kiasi kwamba wan acha tu bora liende.
Mfano
Vipimo ni cancer kabisa...lakini baadae cancer haionekani.
Wanabaki kutrafuta wapi kuna errors zilifanyika etc
Lakini
MUNGU anamkumbusheni kitu.
 
Mara nyingine hata wataalam hukutana na case complicated kiasi kwamba wan acha tu bora liende.
Mfano
Vipimo ni cancer kabisa...lakini baadae cancer haionekani.
Wanabaki kutrafuta wapi kuna errors zilifanyika etc
Lakini
MUNGU anamkumbusheni kitu.
umesema vyema mkuu japo inachanganya ila ngoja tuone ipi itakua ya kweli
 
Maarifa poa sana mkuu japo najua hata humu wataalam watakuwepo pengine watapitia ngoja nisubiri
 
Kitu kama hicho hakipo ,nenda hospital inayoeleweka,utrasound zingine mbovu .
 
Katika kipimo cha ultrasound inategemeana na anaye kifanya, na pia kupata umri wa ujauzito na makadirio ya tarehe ya kujifungua mara nyingi miezi mitatu ya kwanza ndio unapata tarehe na umri wa ujauzito ambao unakaribiana tangu ujauzito ulipo tungwa. Ila miezi mitatu ya mwisho kuna biological changes nyingi kwa mtoto hivyo kwa kipimo ,cha ultrasound lazima miezi itatofautiane. Miezi 3 ya mwisho mara nyingi tunaangalia mtoto kama amegeuka, au tunaangalia placenta au kiwango cha maji.
 
Katika kipimo cha ultrasound inategemeana na anaye kifanya, na pia kupata umri wa ujauzito na makadirio ya tarehe ya kujifungua mara nyingi miezi mitatu ya kwanza ndio unapata tarehe na umri wa ujauzito ambao unakaribiana tangu ujauzito ulipo tungwa. Ila miezi mitatu ya mwisho kuna biological changes nyingi kwa mtoto hivyo kwa kipimo ,cha ultrasound lazima miezi itatofautiane. Miezi 3 ya mwisho mara nyingi tunaangalia mtoto kama amegeuka, au tunaangalia placenta au kiwango cha maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…