Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
nasikitika kuona hujasoma na kuielewa post yangu. Nimesema kwa mara ya kwanza tarehe tulizokua tunazijua sisi na tulivyoenda kupima utra sound vilionyesha sawa kabisa lakini baada ya muda utrasound inaonekana kusogeza wiki mbele tofaut na ilivyotuambia mwanzo ndo hapo nlitaka wadau watie neno je ishawahi kuwatokea hii sasa wewe unakuja na idea zako ukizani kila familia ina michezo yenu ya kijingaAngalia usije ukabambikwa ujauzito. wanawake hawakawihii kupanua goli
Mara nyingine hata wataalam hukutana na case complicated kiasi kwamba wan acha tu bora liende.Jambo wadau.
Kuna mwanamke akihesabu tarehe za ujauzito wake mpaka leo ni wiki ya 27 na akiwa na wiki 8 alivyopiga utrasound ilisoma wiki 8 sawa sawa na hesabu zake za last period.
Sasa kuanzia utresound ilivyosoma wiki 8 mpaka leo hii inatakiwa iwe ni wiki ya 27 lakini tumeenda kupima tena imesoma wiki ya 30 manake imesogeza wiki 3 mbele.
Kwa wataalam hapo natakiwa kuamini ilivyosoma mara ya kwanza au hii ya pili manake zote mbili alifanyia hosp moja
umesema vyema mkuu japo inachanganya ila ngoja tuone ipi itakua ya kweliMara nyingine hata wataalam hukutana na case complicated kiasi kwamba wan acha tu bora liende.
Mfano
Vipimo ni cancer kabisa...lakini baadae cancer haionekani.
Wanabaki kutrafuta wapi kuna errors zilifanyika etc
Lakini
MUNGU anamkumbusheni kitu.
Hapo hakuna longo longo. Ni masuala ya taaluma ya utabibu. au wataka udanganywe tena.? nenda hospitali inginekwamba wadau hawaioni hii mada au hawaijui
Katika kipimo cha ultrasound inategemeana na anaye kifanya, na pia kupata umri wa ujauzito na makadirio ya tarehe ya kujifungua mara nyingi miezi mitatu ya kwanza ndio unapata tarehe na umri wa ujauzito ambao unakaribiana tangu ujauzito ulipo tungwa. Ila miezi mitatu ya mwisho kuna biological changes nyingi kwa mtoto hivyo kwa kipimo ,cha ultrasound lazima miezi itatofautiane. Miezi 3 ya mwisho mara nyingi tunaangalia mtoto kama amegeuka, au tunaangalia placenta au kiwango cha maji.Jambo wadau.
Kuna mwanamke akihesabu tarehe za ujauzito wake mpaka leo ni wiki ya 27 na akiwa na wiki 8 alivyopiga utrasound ilisoma wiki 8 sawa sawa na hesabu zake za last period.
Sasa kuanzia utresound ilivyosoma wiki 8 mpaka leo hii inatakiwa iwe ni wiki ya 27 lakini tumeenda kupima tena imesoma wiki ya 30 manake imesogeza wiki 3 mbele.
Kwa wataalam hapo natakiwa kuamini ilivyosoma mara ya kwanza au hii ya pili manake zote mbili alifanyia hosp moja
Katika kipimo cha ultrasound inategemeana na anaye kifanya, na pia kupata umri wa ujauzito na makadirio ya tarehe ya kujifungua mara nyingi miezi mitatu ya kwanza ndio unapata tarehe na umri wa ujauzito ambao unakaribiana tangu ujauzito ulipo tungwa. Ila miezi mitatu ya mwisho kuna biological changes nyingi kwa mtoto hivyo kwa kipimo ,cha ultrasound lazima miezi itatofautiane. Miezi 3 ya mwisho mara nyingi tunaangalia mtoto kama amegeuka, au tunaangalia placenta au kiwango cha maji.Jambo wadau.
Kuna mwanamke akihesabu tarehe za ujauzito wake mpaka leo ni wiki ya 27 na akiwa na wiki 8 alivyopiga utrasound ilisoma wiki 8 sawa sawa na hesabu zake za last period.
Sasa kuanzia utresound ilivyosoma wiki 8 mpaka leo hii inatakiwa iwe ni wiki ya 27 lakini tumeenda kupima tena imesoma wiki ya 30 manake imesogeza wiki 3 mbele.
Kwa wataalam hapo natakiwa kuamini ilivyosoma mara ya kwanza au hii ya pili manake zote mbili alifanyia hosp moja