Wataalamu naomba msaada wa hili jambo..

Epafras

Member
Joined
May 15, 2015
Posts
78
Reaction score
27
Nina mchumba wangu kwa kipindi cha mwanzo alikuwa anabreed vizuri tu lakini sasa anabreed mabonge mabonge ya damu,tatizo ni nini na kuna mazara kwa hali yake anavobreed saizi??
 
Nina mchumba wangu kwa kipindi cha mwanzo alikuwa anabreed vizuri tu lakini sasa anabreed mabonge mabonge ya damu,tatizo ni nini na kuna mazara kwa hali yake anavobreed saizi??
Kwanini msiende kwa gynaecologist ? Una uhakika hakuna mimba iliyoharibika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…