Mpole mimi
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 315
- 104
Kwa hesabu uliyofanya na mapenzi mliyoyafanya unaweza kushika kweli mimba. Ngojea mpaka karibu na tarehe 9 mwezi unaokuja kapime mimba huenda ukawa unayo mimba hongera kwa mahesabu yako Mpole mimi Na kama utakuwa na mimba basi tegemea kupata mimba ya mtoto wa kiume.Habari.
Mimi ni mwanamke ninaetarajia kupata mtoto kwa kipindi hiki.
Mzunguko wa siku zangu ni siku 28... na napoingia kwenye siku zangu naenda siku tatu. Mara ya mwisho kuona siku zangu ilikuwa tarehe 11-13 ikakata, baada ya hapo nikaja kukutana na mwenza Wangu tarehe 23 ambayo nikihesabu kuanzia siku ya kwanza nilipoona siku zangu ni siku ya 13..na alikojoa ndani mara tatu. Sina tatizo lolote kiafya na leo ya 6 tangu nikutane nae mwez huu.
Swali . je kuna uwezekano ya kuwa nimeshika mimba?
Na je inaonekana baada ya mda gani maana hata natamani hata saiz nikapime mkojo...je kama ipo ntaiona?!..
Asanteni.
Habari.
Mimi ni mwanamke ninaetarajia kupata mtoto kwa kipindi hiki.
Mzunguko wa siku zangu ni siku 28... na napoingia kwenye siku zangu naenda siku tatu. Mara ya mwisho kuona siku zangu ilikuwa tarehe 11-13 ikakata, baada ya hapo nikaja kukutana na mwenza Wangu tarehe 23 ambayo nikihesabu kuanzia siku ya kwanza nilipoona siku zangu ni siku ya 13..na alikojoa ndani mara tatu. Sina tatizo lolote kiafya na leo ya 6 tangu nikutane nae mwez huu.
Swali . je kuna uwezekano ya kuwa nimeshika mimba?
Na je inaonekana baada ya mda gani maana hata natamani hata saiz nikapime mkojo...je kama ipo ntaiona?!..
Asanteni.
Kwa hesabu uliyofanya na mapenzi mliyoyafanya unaweza kushika kweli mimba. Ngojea mpaka karibu na tarehe 9 mwezi unaokuja kapime mimba huenda ukawa unayo mimba hongera kwa mahesabu yako Mpole mimi Na kama utakuwa na mimba basi tegemea kupata mimba ya mtoto wa kiume.
Vp jamaa anataarifa unataka kumdakisha mimba au unaitafuta ili akuoe?!
Daah! iv humu hakuna mwanamke ambae hafanyi kweli?! yani kuna bikra kweli jf?!