K kanewi JF-Expert Member Joined Jun 12, 2012 Posts 298 Reaction score 200 Jul 28, 2012 #1 naomba mnisaidie,hivi mwanamke kuwa na maji kwenye milija ya uzazi inasababishwa na nini?doctors wamemuambia mke wangu kuwa mirija ya uzazi imejaa maji na tatizo hili lina mazara gani?je kutokupata mimba ni moja ya mazara yake?,
naomba mnisaidie,hivi mwanamke kuwa na maji kwenye milija ya uzazi inasababishwa na nini?doctors wamemuambia mke wangu kuwa mirija ya uzazi imejaa maji na tatizo hili lina mazara gani?je kutokupata mimba ni moja ya mazara yake?,
Scofied JF-Expert Member Joined Jun 5, 2012 Posts 2,456 Reaction score 1,673 Jul 28, 2012 #2 pole mkuu,tusubiri wataalam wakuje kaka....