Wataalamu nisaaidieni

kanewi

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
298
Reaction score
200
naomba mnisaidie,hivi mwanamke kuwa na maji kwenye milija ya uzazi inasababishwa na nini?doctors wamemuambia mke wangu kuwa mirija ya uzazi imejaa maji na tatizo hili lina mazara gani?je kutokupata mimba ni moja ya mazara yake?,
 
pole mkuu,tusubiri wataalam wakuje kaka....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…