Kwanza naomba ku-declare interest. hii serikali siipendi.
Baada ya hapo niende kwenye mada moja kwa moja.
Baada ya kifo cha kiongozi wetu aliekuwa anazipinga waziwazi conspiracy theories karibu zote zinazohusu corona. Mrithi wake kaja na wazo tofauti. yeye anazikubali pamoja na mambo yake yote.
Ni vile tu anaona aibu ila kimoyomoyo anatamani tufungiwe ndani lockdown.
Na hakuna ubishi kuwa janga la corona ni baya. ushahidi upo wazi nchi za magharibi zimeumia pakubwa. hata sisi tumeumia ila kwakuwa serikali yetu inaendeshwa kwa 99% uongo 1% kweli basi kila mtu hana data kamili za damage.
Swali langu ni je, serikali ipo sahihi kiasi gani kuanzisha aina mpya ya kodi katikati ya janga la corona ambalo linatafuna uchumi wa dunia nzima?
Baada ya hapo niende kwenye mada moja kwa moja.
Baada ya kifo cha kiongozi wetu aliekuwa anazipinga waziwazi conspiracy theories karibu zote zinazohusu corona. Mrithi wake kaja na wazo tofauti. yeye anazikubali pamoja na mambo yake yote.
Ni vile tu anaona aibu ila kimoyomoyo anatamani tufungiwe ndani lockdown.
Na hakuna ubishi kuwa janga la corona ni baya. ushahidi upo wazi nchi za magharibi zimeumia pakubwa. hata sisi tumeumia ila kwakuwa serikali yetu inaendeshwa kwa 99% uongo 1% kweli basi kila mtu hana data kamili za damage.
Swali langu ni je, serikali ipo sahihi kiasi gani kuanzisha aina mpya ya kodi katikati ya janga la corona ambalo linatafuna uchumi wa dunia nzima?