Wataalamu wa air conditioning za magari

Wataalamu wa air conditioning za magari

Boeing 747

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
3,515
Reaction score
9,415
Ni matumaini yangu wote ni wazima ninaomba kujuzwa na watu wenye uzoefu juu ya air conditioning za magari je kuna uwezekano wa kui-tune AC ya gari iweze kutoa ubaridi zaidi ya ule ambao umetengenezwa kiwandani kama ndiyo ni jambo gani linatakiwa kufanyika ili kufanya AC itoe ubaridi mkali zaidi natamani kipupwe ndani ya gari kiwe kikali kiasi cha kuvaa sweta.

Nawasilisha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kufunga compressor kubwa ikafanya engine yako kuwa weak, yaani ukiwasha AC tu gari inachelewa kuchanganya.
Point noted....
Mwanzoni ilikuwa inatoa baridi kali mpka nikimpa mtu lifti anasema punguza ac....sasa kuna wakati iliisha refrigerant ikawa inatoa joto....fundi akarekebisha leakage tukajaza gesi upya....ila naona kama gesi ilijaa kwa dakika chache kuliko magari mengine niliyoyakuta hapo...sasa baada ya hapo baridi inatoka ila si kali kma mwanzo...nahisi huyu fundi hakujaza gesi ya kutosha



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point noted....
Mwanzoni ilikuwa inatoa baridi kali mpka nikimpa mtu lifti anasema punguza ac....sasa kuna wakati iliisha refrigerant ikawa inatoa joto....fundi akarekebisha leakage tukajaza gesi upya....ila naona kama gesi ilijaa kwa dakika chache kuliko magari mengine niliyoyakuta hapo...sasa baada ya hapo baridi inatoka ila si kali kma mwanzo...nahisi huyu fundi hakujaza gesi ya kutosha



Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda hakujaza vya kutosha, ila katika conditioning system kuna component kama tatu hivi muhimu, compressor, condenser na evaporator. Moja kati ya hivyo kikipata hitilafu lazima system yote iwe na matatizo. Most likely kwenye magari compressor ndio zinakuwa na matatizo...
 
Huenda hakujaza vya kutosha, ila katika conditioning system kuna component kama tatu hivi muhimu, compressor, condenser na evaporator. Moja kati ya hivyo kikipata hitilafu lazima system yote iwe na matatizo. Most likely kwenye magari compressor ndio zinakuwa na matatizo...
Asante kwa mchqngo wako...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom