Wataalamu wa burudani, je ni kiwanja gani kikali kati ya hivi?

Wataalamu wa burudani, je ni kiwanja gani kikali kati ya hivi?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Nina likizo ya kama siku 21, sasa nina kajisenti hapa ka kula burudani kwa muda huu wa likizo kisha nirudi kuendelea kutumika kwa mwajiri.

Kwanza mimi situmii aina yoyote ya kilevi ila nina kilevi changu.

Sasa naomba kujua kati ya maeneo haya ya burudani wapi napata kilevi changu au vilevi vipo vya kumwaga? Maison, Havoc, Tips, Samaki Samaki na maeneo mengine ya vinywaji laini.

Naomba muongozo wenu ili nianze Ijumaa hii kutembelea maeneo mazuri ya kupata vinywaji laini.

Ahsante.
 
Anzia tips pale Kama hutumii ulevi pombe upo ulevi wa watoto wa vyuo kibao. Ila wote wanalewa savannah. Au Kama vipi ijumaa au mosi nenda Juliana mbezi beach ya chini japo sio classic kiviile ila Napo Pana watoto midclass.
 
Hivi umemuelewaje alivyosema ".. nina kilevi changu" au "wapi nitapata kilevi changu au vilevi viko vingi"
Kilevi chake ni nyapu dada[emoji38][emoji38] anapenda nyapu ss
Aemde havoc akakutane na nyapu zinaongea ngeli tu
 
kawoli naona hii TIPS inakuja juu sana sasa hivi, kuna nini cha Ziada hapo kaka? Na uzuri wake upoje + huduma?
 
kawoli naona hii TIPS inakuja juu sana sasa hivi, kuna nini cha Ziada hapo kaka? Na uzuri wake upoje + huduma?
Ni upepo tu mkuu. Sana Sana pale Pana hivi videmu vya chuo vinadanga kistaarabu halafu vipo class kidogo kisa vinaimba imba nyimbo za kizungu. But to me naona Bora Juliana kule mbezi beach. Kwanza pombe pale Juliana ni Bei ya mtaani tu.
 
Kilevi chake ni nyapu dada[emoji38][emoji38] anapenda nyapu ss
Aemde havoc akakutane na nyapu zinaongea ngeli tu
[emoji23][emoji23][emoji23]nmecheka sana Nyapu za ngeli daah
Havoc blac wapo , unajua watu wengi hawapendi sehemu za viingilio
Ndo mana low class huwakuti Havoc/Maison /Elements
Ni upepo tu mkuu. Sana Sana pale Pana hivi videmu vya chuo vinadanga kistaarabu halafu vipo class kidogo kisa vinaimba imba nyimbo za kizungu. But to me naona Bora Juliana kule mbezi beach. Kwanza pombe pale Juliana ni Bei ya mtaani tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Daah vinaimba imba
Tips ya kidimbwi ndio imejaa sana
 
Back
Top Bottom