Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Habari za jumapili wana JF.
Katika masuala ya mavazi kuna mambo Mengi sana. Unakuta watu wamelingana kimo kila kitu hadi rangi na hata hadhi ktk jamii. Lakini wanapovaa kuna mmoja anasifiwa sana kuliko mwenzie, cha ajabu hata akivaa kiatu, nguo mtumba na chochote kile yeye huwa anafunika kwa uzuri au utanashati.
Hii ni huwa inatokea kwa jinsia zote yaani wanaume na wanawake kiasi kwamba mtu huyu watu huanza kushindananaye kwa kumuiga.
Hali hii husababishwa na nini ilihali watu wengine ukiwatazama wamelingana kila kitu?
Katika masuala ya mavazi kuna mambo Mengi sana. Unakuta watu wamelingana kimo kila kitu hadi rangi na hata hadhi ktk jamii. Lakini wanapovaa kuna mmoja anasifiwa sana kuliko mwenzie, cha ajabu hata akivaa kiatu, nguo mtumba na chochote kile yeye huwa anafunika kwa uzuri au utanashati.
Hii ni huwa inatokea kwa jinsia zote yaani wanaume na wanawake kiasi kwamba mtu huyu watu huanza kushindananaye kwa kumuiga.
Hali hii husababishwa na nini ilihali watu wengine ukiwatazama wamelingana kila kitu?