Unaanza kuvuna miaezi mitatu baada ya kuzipanda. Utaendelea kuvuna kwa miezi 8 hadi 11. Ingia Google kuna material mengi kuhusu greenhouse, au ingia Youtube uangalie, kama ngeli inapanda utaelewa huko. Mimi mwenyewe nimalizia kuweka miundombinu sawa ili nianze kulima
Ngoja mkuu tukuitie Sanctus Mtsimbe aje akudadavulie hapa kuna kipindi aliwahi kuleta mada hapa jamvini ya kuhusu kilimo cha kutumia Green House. Ukijaribu kuitafuta hiyo mada hapa jamvini utaipata!