okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,738
Binafsi siamini kilichotokea Zanzibar, naona kama ndoto vile. Je, kuna wataalamu wa historia ambao wanaweza nambia nchi yeyote duniani ambayo imewahi kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu tofauti na nchi ya Zanzibar?