Wataalamu wa Kamera na upigaji picha

Wataalamu wa Kamera na upigaji picha

Do santos

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
635
Reaction score
338
Habari wakuu.

Nina Camera aina ya Canon EOS T4i 650D.

Mimi si mtaalamu wa Kamera. Tatizo langu ni pale ninapochukua Video kila inapofika Dakika 30 inajizima automatic na nikitaka kuendelea kuchukua video inabidi nibonyeze tena.

Mwanzoni nilihisi labda card ni ndogo nilikua natumia 32GB.

Nimebadili na kutumia ya 64GB lakini bado ikifika DK 30 inakata kurekodi.

Naomba msaada wenu kama ni setting nafanyaje ili irekodi bila ya kukata.
 
Hyo ni DSLR na haikuwa designed kurecord video kwa muda mrefu. Hyo limiti ya 30 minutes imewekwa kuzuia overheating sababu haikuwa designed kufanya hyo kazi kwa muda mrefu.
 
Hyo ni DSLR na haikuwa designed kurecord video kwa muda mrefu. Hyo limiti ya 30 minutes imewekwa kuzuia overheating sababu haikuwa designed kufanya hyo kazi kwa muda mrefu.
Asante mkuu racka98

Kama nataka Camera nzuri kwa kurekodi Video kwa muda mrefu nitumie kamera za aina gani.

Kama utanitajia itakua poa Mkuu
 
Back
Top Bottom