Mngurimi JF-Expert Member Joined May 27, 2020 Posts 819 Reaction score 790 May 28, 2020 #1 Ni maneno gani katika lugha ya Kiswahili ambayo ukiyasoma kutoka mwisho kwenda mwanzo yanakuwa na maana ileile kwa mfano, neno UVIVU. Karibuni..
Ni maneno gani katika lugha ya Kiswahili ambayo ukiyasoma kutoka mwisho kwenda mwanzo yanakuwa na maana ileile kwa mfano, neno UVIVU. Karibuni..
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 May 28, 2020 #2 Nini Mimi Wewe Yeye Sisi Wowowo Kolo kolo Jr[emoji769]
Mngurimi JF-Expert Member Joined May 27, 2020 Posts 819 Reaction score 790 May 28, 2020 Thread starter #3 Sawa kabisa japo napata walakini kwenye neno "wowowo" kama ni Kiswahili kilichosanifiwa.
chenjichenji JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 1,773 Reaction score 3,529 May 28, 2020 #4 Ishi
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 May 28, 2020 #5 Kuku, toto
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 48,444 Reaction score 194,235 May 28, 2020 #6 Vile vile Wale wale Pilipili Barabara Nk
Mngurimi JF-Expert Member Joined May 27, 2020 Posts 819 Reaction score 790 May 28, 2020 Thread starter #7 Bujibuji said: Kuku, toto Click to expand... Sawa
Mngurimi JF-Expert Member Joined May 27, 2020 Posts 819 Reaction score 790 May 28, 2020 Thread starter #9 KIBWENZI said: KISIKI TIKITI Click to expand... Safi