Trubetzkoy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 349
- 678
Ndugu yangu hayo mambo wewe achana nayo.Habari za wakati huu ndugu zangu!
Naomba kueleweshwa juu ya kile kinachoaminika kuwa ni uwezo wa kukuza maumbile ya kiume (uume).
Nimekuwa nikiona matangazo mbalimbali toka kwa watu wanaojinasibu kuwa ni wataalamu wa kukuza viungo vya mwili ikiwemo uume.
Nachoomba kusaidiwa hapa ni;
Wataalamu hao wapo kweli?,
Kama wapo je! mbali na faida nitakayoipata baada ya kurefusha/kunenepesha hii kitu hakuna madhara yanayoweza kusababishwa na hili badiliko la kiumbo?
Naomba ufafanuzi tafadhari!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aase kumbe hatar!Ndugu yangu hayo mambo wewe achana nayo.
Madhara ni makubwa kuliko faida.( vinginevyo tusubir waliowahi kufanya hivyo waje na ushahidi positive) japo baadhi ya wadau wanadai ni kweli inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! sio mchezoInafanya kazi Kwa Muda ila Tatizo inakuja kurudi na inapitiliza zaidi ,Kwa hiyo ushauri wangu hapana usijaribu man ,KAA TU NA KIBAMIA CHAKO ILA KUNA NJIA YA KUMUWAHISHA KILELENI MPENZI WAKO
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa mkuu mbona hela nyingi Sana, mwaka Jana mwanzoni hospitali ya taifa wameanza kufanya operation hiyo ya kuongeza au kupunguza uume, japo Bei siifahamuIpo mkuu na ni salama kabisa ukiwa na milioni 45,000,000 inatosha kufanyiwa huo
upasuaji na pesa inaweza kubakia.
M 45 za kitanzania?Ipo mkuu na ni salama kabisa ukiwa na milioni Arobaini na tano,( 45,000,000) inatosha kufanyiwa huo
upasuaji na pesa inaweza kubakia.