Mtoto katika elimu
Member
- Jan 15, 2025
- 11
- 10
pengine aliyezaliwa ameletwa kuwa mchunga kondoo(Pastor)Amani iwe kwenu wanajamii
Mama mjamzito usiku wa kwenda kuzaa akimuota Bikira Maria Anamzaa Yesu, kondo zimezagaa zagaaa. Hiyo ndoto inakuwa na maana gani?
Na alizaa wa kiume
huo ukubwa upo kwenye nini hasa au sekta gan, kidini au kiuongozi? au kinamna ganHuyo mtoto alelewe kwa umakini, ni mtu mkubwa hapo baadae
manaake hapo mwenye bahati ni mwanamke aliyeota au mtoto mwenyewe?Narudia kutoa tafsiri mtumish
Hakuna ndoto ngumu kama kuota kondoo, aliyeota hawo kondoo ana bahati sana
inshaallahNdoto hyo inamaana ya kwamba. Aliezaliwa badae inshallah atapata utukufu Kama wa aliyemuota aidha ktk elimu, biashara, siasa, jamii au DINI