wataalamu wa kutengeneza blogs... naombeni msaada wenu tafadhali!

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
salamu zenu wakuu! ndugu zangu, nimeona nisikurupuke just because of having an idea, naanza na wazo leo, but from tomorrow, it will be practicals na lazima nirudishe habari juu ya maendeleo ya blog yangu. naombeni sana msaada wenu wakubwa, hasa juu ya njia nzuri za kutengeneza blog nzuri na za kuvutia, jinsi ya ku update kwa wakati muafaka na jinsi ya kuvutia wasomaji wengi! je, ni lazima blog iwe na habari za aina moja tu au zaweza kuwa za mchanganyiko? je, wenye blog wanafaidika vp na blog zao? gharama za uendeshaji zikoje? naombeni michanganuo zaidi pale ambapo sijagusa wakuu!!!! mawasiliano,; 0762972021
 
fanya kuipeleka jukwaa la techs and gadgets upate msaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…