Kiswahili ni lugha rahisi sana kujifunza kuliko kiingereza,kwa sababu kwanza kiswahili hakija jitosheleza kimsamiati kwa hiyo ni rahisi mtu kuielewa misamiati michache iliyopo,sababu nyingine ni maneno mengi ya kiswahili hutamkwa kama yanavyoandikwa isipokua machache sana kama mbu/mmbu/,mbwa/mmbwa/ .Ila maneno mengi ya kiingereza hutamkwa tofauti kabisa na yanavyo andikwa mf:Education/edjukeisn/, cup/kap/, cap/kep/, you/ju:/, nk hvyo humuwia vigumu mtu kujifunza haraka na kuielewa ukilinganisha na kiswahili.