cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,118
- 1,797
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza
nimenunua ki Gari fulani hivi bibayabaya ambacho kinaweza kunitoa sehemu moja kwenda nyingine
kihistoria mimi sijawahi kumiliki gar hata mwaka mmoja na hii ndio gari yangu ya kwanza aina ya starlet
Gari hii nimenunua kwa mtu hapa Mwanza, na tangu niinunue haijawachi kuniharibikia kabisa
Sasa nafikiria kusafir kwenda Dar hivyo nikapata wazo la kwenda na haka ka Gari no matter kwamba ni kabaya na sijawahi kisafiri nacho umbali mrefu
kilivyo hapa kwa hivi sasa kina tyre zote mpya, nimemwaga oil na kuweka oil mpya, majo yapo ya kutosha, wese lipo na kuna cash ipo mfukoni endapo litakata, mfumo wa umeme upo vzr kwamaana ya taa na endicator zote, break ipo vzr
sasa nauloza wataalam kuna kitu gani cha ziada ya kuangalia ili safari yangu iweze kuwa ya mafanikio?
sio mtaalam sana na ndio maana nimeingia jukwaani kuomba ushaur maana kwenye gari ninachojua mimi ni kuendesha tu bas
kwaiyo kitu gani tena muhimu natakiwa kuangalia ili nisikwame njiani?
Aksanteni
nimenunua ki Gari fulani hivi bibayabaya ambacho kinaweza kunitoa sehemu moja kwenda nyingine
kihistoria mimi sijawahi kumiliki gar hata mwaka mmoja na hii ndio gari yangu ya kwanza aina ya starlet
Gari hii nimenunua kwa mtu hapa Mwanza, na tangu niinunue haijawachi kuniharibikia kabisa
Sasa nafikiria kusafir kwenda Dar hivyo nikapata wazo la kwenda na haka ka Gari no matter kwamba ni kabaya na sijawahi kisafiri nacho umbali mrefu
kilivyo hapa kwa hivi sasa kina tyre zote mpya, nimemwaga oil na kuweka oil mpya, majo yapo ya kutosha, wese lipo na kuna cash ipo mfukoni endapo litakata, mfumo wa umeme upo vzr kwamaana ya taa na endicator zote, break ipo vzr
sasa nauloza wataalam kuna kitu gani cha ziada ya kuangalia ili safari yangu iweze kuwa ya mafanikio?
sio mtaalam sana na ndio maana nimeingia jukwaani kuomba ushaur maana kwenye gari ninachojua mimi ni kuendesha tu bas
kwaiyo kitu gani tena muhimu natakiwa kuangalia ili nisikwame njiani?
Aksanteni