Wataalamu wa magari

Shedangio

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
448
Reaction score
170
Nataka kununua Ist au Carina Ti naomba muongozo
1.fuel efficiency
2.Uimara wa gari kwenye njia za vumbi na rough road

Suspenssion
 
Carina iko mbele zaidi ya IST sidhani kama kuna haja ya kujiuliza mara 2 kuhusu kufanya uamuzi...
Hii gari unaweza kutoka dar- songea ukarudi tena dar unaenda Mwanza na chuma bado inadai Safar tu
SI au TI?
 
Habari zenu waungwana..!!
Nimepita kuwasalimia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…