Labile Member Joined Dec 9, 2016 Posts 58 Reaction score 63 Jul 23, 2021 #1 Habari zenu mabibi na mabwana. Naombeni mnisaidie ni wapi pale Mwanza nitapata mtumba grade A, na nitatambua vipi ni grade A na bei zake kwa shati, tisheti na suruali? Natanguliza shukrani.
Habari zenu mabibi na mabwana. Naombeni mnisaidie ni wapi pale Mwanza nitapata mtumba grade A, na nitatambua vipi ni grade A na bei zake kwa shati, tisheti na suruali? Natanguliza shukrani.
Mnyatiaji JF-Expert Member Joined Dec 13, 2018 Posts 3,728 Reaction score 4,817 Jul 26, 2021 #2 Wakubwa wamegoma kutoa ushauri