Siku hizi wanatumia vitabu gani?
US-AID vimechapwa na oxford wameandaa wamarekani na wabongo
vimechapwa lini vitabu vya form one mpaka form four physics?
Je text book ya darasani ya olevel toka form one hadi form four inakidhi haja ya mwanafunzi kuona utamu wa physics na kufaulu?
vimechapwa lini vitabu vya form one mpaka form four physics?
vilianza kutolewa msaada mwaka 2010 baadae mwaka 2012 vikaanza kuuzwa rasmi.. vimechapwa kwa interval ya vidato viwili yani kuna vya form 1&2 na form 3&4
Kwani kwa sasa TIE wamesuggest vitabu gan vya physics vitumike mashuleni...,kingne hiv wenzangu mshawah kuviona vitabu vya TIE advance phyics tofauti na charnd 1 na 2,nelkon roger muncaster na vitn vingne?
hiki ndo kilinishitua maana sikuwahi kukisikia kabisa.
VAN HEIST hapa ndo maana nikakuuliz.a nijue pengine kuna vitabu vingine vya form one mpaka form four.
aalaah hakuna vingine zaid ya abbot na wengineo
kama ni hivi navifahamu.
hivi ni vitabu vizuri kuliko vya mwanzo.
lakini vina kasoro kuu mbili.
1.kuna maeneo ni vigumu sana kuvielewa hasa kwenye maswala ya derivation, waliviandaa vibaya.
2.vina typing errors ila sizinahimilika
3.
ndio nilishawah kufundishia vijana fulani wa kidato cha nne apo kwenye derivation walishindwa kuelewa ilibidi nitumie uzoefu wangu katika physics ku derive kwa njia nyingine waelewe japokua o level hawaulizwi derivation ingawa inamjengea mazingira ya kutokariri kanuni bila kujua ilipotokea na inakua rahisi kukumbuka endapo atasahau sehemu ya kanuni husika..
vitabu kuanzia form 1 mpaka 4 ni abbot, atkinson na nelkon hakuna vingine