Wataalamu wa rangi za magari Pitieni hapa

Wataalamu wa rangi za magari Pitieni hapa

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
1,002
Reaction score
277
Heshima iwe kwenu ninahitaji kupaka rangi kakiberiti kangu sasa ktk pitapita mitandaoni nikitafuta rangi gani itakayotuliza mapepo yangu nikakutana na rangi hiyo hapo pichani Sasa tatizo limekuja nitamuelekezaje fundi maana fundi kaniuliza una namba ya hiyo rangi?? nikakwama nikatafuta app inayoweza kudetect rangi nimekwama nisaidieni kama kuna mtu humu anawafahamu wapiga rangi wenye zile orodha za aina za rangi za magari wanisaidie
Screenshot_2019-02-11-09-55-41.jpeg
Screenshot_2019-02-11-09-55-14-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Bavaria naona kama kuna kautofauti kidogo au ni macho yanguView attachment 1054716View attachment 1054717

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo rangi ndiyo yenyewe, rangi ikiwa mpya kabisa hungaa sana, ikishapigwa na mwanga kwa muda huwa ung'avu wake hupungu, chukua gari yoyote nunua rangi ya code ya gari yako ipige utaona utofauti wa ukolevu na ung'avu wa sehemu ya rangi uliyopiga, ila baada ya miez patakuja kufanana hasa baada ya kupigwa na jua
 
Back
Top Bottom