salvatorychuma
Member
- Mar 24, 2015
- 12
- 6
Msaada kwa wataalamu wa vyombo vya majini; FIRE BARGE ndio nn, na bei zake zikoje?na Identification barge with name and check number inauzwaje pia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mcheki Dennis Kafuku pm for his number ni engineer yupo SongoroMsaada kwa wataalamu wa vyombo vya majini; FIRE BARGE ndio nn, na bei zake zikoje?na Identification barge with name and check number inauzwaje pia?
Tanzania Nchi Ngumu Sana HiiWacheki mashekhe ndo wataalamu wa majini
Thanks mzee, japo nimegoogle wananiletea mambo meng mpaka nashindwa kujua exactly item/answer ni ipi?Offshore Seamen
Ikitokea hajaja huyu mwamba, ama akakosa jibu na wadau wengine wakawa hawajui jaribu google, siku mojamoja mfanye kuwa rafiki yako.
Kwani mzee, Offshore Seamen ni mganga? (Joke)Offshore Seamen
Ikitokea hajaja huyu mwamba, ama akakosa jibu na wadau wengine wakawa hawajui jaribu google, siku mojamoja mfanye kuwa rafiki yako.
Mambo ya Mshana Jr hayoKwani mzee, Offshore Seamen ni mganga? (Joke)
@salvatorychumaFire Barge ni sawa na Fire Boat, hii inatumika kuzima moto na uokoaji katika eneo la bandari na meli kama inawaka moto. Kwenye Identification Barge itaelezea aina gani ya injini,pump iliyofungwa na Tanki na uwezo wa Nozzle ya kumwaga maji ndani ya dakika au lisaa na uwezo wa kufanya manourve inapofanya kazi ya kuzima moto.
Check Number utaipata kwenye check yenu ya kulipia manunuzi ya boti.
Mkuu inaweza kuwa fursa, nipe ofisi Jiji la Makalla hatukosi wateja 😂😂😂Kwani mzee, Offshore Seamen ni mganga? (Joke)