Wataalamu wa vyombo vya moto naomba ushauri

Wataalamu wa vyombo vya moto naomba ushauri

SACO

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
2,623
Reaction score
3,397
Baada ya mafuta kupanda bei mara dufu, nimeamua kuuza Brevis yangu kwa mil 6 kwani ilikuwa inakunywa sana mafuta.

Nimeamua ninunue pikipiki na chaguo langu ni Kinglion. Sina uzoefu sana na pikipiki japokuwa naweza kuendesha. Hivyo naomba wataalamu kesho naenda kununua mnielekeze mambo ya kuzingatia ili mwanajf mwenzenu nisijepigwa. Tafadhali karibuni kwa ushauri
 
Baada ya mafuta kupanda bei mara dufu, nimeamua kuuza Brevis yangu kwa mil 6 kwani ilikuwa inakunywa sana mafuta.

Nimeamua ninunue pikipiki na chaguo langu ni Kinglion. Sina uzoefu sana na pikipiki japokuwa naweza kuendesha. Hivyo naomba wataalamu kesho naenda kununua mnielekeze mambo ya kuzingatia ili mwanajf mwenzenu nisijepigwa. Tafadhali karibuni kwa ushauri
Iko vizuri sana ina nguvu kwenye milima,zingatia service.
 
Bora hata ungenunua Suzuki Kei yenye cc 600's ila siyo pikipiki aisee! Kiufupi utaboreka sana.

Imagine umepaki zako mjini, ukimsubiri wife afanye manunuzi, anakuja mdada na kukuuliza "eti kaka wewe ni bodaboda?" Aaaarghhhh!! 😩 Mara anakuja msela "oya boda nipeleke sehemu fulani!"

Hii ni nje ya dharau kutoka kwa wenye magari! Bado msimu wa masika haujaanza!!! Aisee ni kosa kubwa sana kuuza gari na kununua pikipiki! Hapo bado ajali! Maana mwili wako ndiyo hugeuka kuwa body!

By the way, Kinglion ni lipikipiki la kubebea mizigo mizito, na kupandia milima. Kama unanunua kwa ajili ya matembezi/kuendea kazini au mishe ndogo ndogo, ni bora ukanunua Haojue yenye cc 125.
 
Baada ya mafuta kupanda bei mara dufu, nimeamua kuuza Brevis yangu kwa mil 6 kwani ilikuwa inakunywa sana mafuta.

Nimeamua ninunue pikipiki na chaguo langu ni Kinglion. Sina uzoefu sana na pikipiki japokuwa naweza kuendesha. Hivyo naomba wataalamu kesho naenda kununua mnielekeze mambo ya kuzingatia ili mwanajf mwenzenu nisijepigwa. Tafadhali karibuni kwa ushauri
Brevis haili mafuta
 
Cc 2400 vs cc 150
2400cc vs 5.7l petrol
Then which is which

Ni ujinga wa hali ya juu ku compare brevis na ractis, mara ist ..compare brevis na magari saizi yake eg Nissan fuga nk Kisha ndo uje useme brevis inakula mafuta
 
Dah, sikupangii matumizi ya hela yako bro ila nafikiri ni vyema hiyo pesa uliyoipata ukaipasua mil 4 ukabaki na 2...

Hiyo 4 ukalenga ukachukua gari yenye cc ndogo kama vits, suzuki kei,zile gari jamii ya terrios kid/daihatsu ..

Kuna factor chache za kuconsider:
-kuna msimu wa masika
-kubeba mtu zaidi ya mmoja(familia)
-incase of accident pikipiki risk ya madhara ni kubwa zaidi
-ile watu kukusimamisha kwa kudhani wewe ni bodaboda its quite annoying
-psychologically utakuwa down ile transition kutoka brev hadi k-lion

NB: HIYO MILIONI 2 ILIYOBAKI NUNUA PILIPIKI UMPE KIJANA AFANYE BODA ILI IKULETEE MAFUTA YA HIYO VITS YAKO UTAKAYONUNUA
 
Dah, sikupangii matumizi ya hela yako bro ila nafikiri ni vyema hiyo pesa uliyoipata ukaipasua mil 4 ukabaki na 2...

Hiyo 4 ukalenga ukachukua gari yenye cc ndogo kama vits, suzuki kei,zile gari jamii ya terrios kid/daihatsu ..

Kuna factor chache za kuconsider:
-kuna msimu wa masika
-kubeba mtu zaidi ya mmoja(familia)
-incase of accident pikipiki risk ya madhara ni kubwa zaidi
-ile watu kukusimamisha kwa kudhani wewe ni bodaboda its quite annoying
-psychologically utakuwa down ile transition kutoka brev hadi k-lion

NB: HIYO MILIONI 2 ILIYOBAKI NUNUA PILIPIKI UMPE KIJANA AFANYE BODA ILI IKULETEE MAFUTA YA HIYO VITS YAKO UTAKAYONUNUA
Support
 
Bora hata ungenunua Suzuki Kei yenye cc 600's ila siyo pikipiki aisee! Kiufupi utaboreka sana.

Imagine umepaki zako mjini, ukimsubiri wife afanye manunuzi, anakuja mdada na kukuuliza "eti kaka wewe ni bodaboda?" Aaaarghhhh!! 😩 Mara anakuja msela "oya boda nipeleke sehemu fulani!"

Hii ni nje ya dharau kutoka kwa wenye magari! Bado msimu wa masika haujaanza!!! Aisee ni kosa kubwa sana kuuza gari na kununua pikipiki! Hapo bado ajali! Maana mwili wako ndiyo hugeuka kuwa body!

By the way, Kinglion ni lipikipiki la kubebea mizigo mizito, na kupandia milima. Kama unanunua kwa ajili ya matembezi/kuendea kazini au mishe ndogo ndogo, ni bora ukanunua Haojue yenye cc 125.
kakwambia anakaa mjini?labda anakaa mkoani,kijijini.
 
bora nipaki gari niwe naamka asubuh naliangalia naenda kupanda daladala, kuliko niuze ninunue pikipik... By the way 6m unapata gari yenye cc ndogo yenye hali nzuri tu... Uamuz wako kwasasa hauna maana
 
2400cc vs 5.7l petrol
Then which is which

Ni ujinga wa hali ya juu ku compare brevis na ractis, mara ist ..compare brevis na magari saizi yake eg Nissan fuga nk Kisha ndo uje useme brevis inakula mafuta
We ndio hata mada hujaielewa, kasome tena na tena maana hiyo kichwa ni ngumu
 
Back
Top Bottom