wataalum damu mwilini ikifika kiasi gani inatakiwa kupunguzwa??

wataalum damu mwilini ikifika kiasi gani inatakiwa kupunguzwa??

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Niliambiwa nina damu 17, nikaambiwa nipunguze sikujibu chochote daktari akajiongeza sijaafiki ila akanitajia dalili kadhaa kuwa nikiziona basi niende wakanipunguzie si nimegoma kwa hiari!!..
chaajabu nilikuja kufatilia nikajua normal damu inatakiwa kuwa 16,sasa mimi kuzidi hiyo moja tu ndo wanipunguzie!!!! which is which..

wataalum naombeni ufafanuzi kuhusu hili..
 
hilo suala sijalifuatilia sana ila kuna mtu alikua anaumwa(homa kali na mwili kuchoka) alipoenda hospitali wakasema damu imezidi mwilini
 
hilo suala sijalifuatilia sana ila kuna mtu alikua anaumwa(homa kali na mwili kuchoka) alipoenda hospitali wakasema damu imezidi mwilini
ohoo! twatishana!
 
Back
Top Bottom