Wataalum wa vifaa vya cm msaada wenu hapa

Wataalum wa vifaa vya cm msaada wenu hapa

koboG

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2016
Posts
2,763
Reaction score
5,167
Hii cm ni OPPO r9 plus huyu jamaa amezunguka kwa mafundi wote ila wapi wananshindwa kutatua tatizo cm inagoma kupeleka charge uki connect kwenye charge inaleta haya maneno. vip hii cm atupe tu au kunanamna ya kufanya hapa
Screenshot_2023-05-06-12-53-06-47.png
Screenshot_2023-05-06-12-58-51-24.png
 
Back
Top Bottom