kujua ni vitendo katika jambo mnasema pratrical wakati kuhafamu ni theory mfano unapokuwa darasan nakufundisha jinsi na kuvua samaki basi ile hali ya mimi kukufundisha na wewe kuelewa kwa kujibu maswali unakuwa umefahamu na nikikupa ndoano au nyavu ukaenda kuvua kwa kufuata jinsi nilivyokufundisha basi hapo unakuwa umejua na kuhusu jibu na jawabu hakuna utofauti ni mambo ya kirahaja tu hayo ambayo mameno yote mawili yamepata mashiko na kujulikana ila maana yake ni moja