Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Mitandao ya kijamii imekua suruhisho kwa watu wenye kujua kutumia Mimi mwenyewe nimekua nikinufaika nayo kwa kujifunza vitu mbalimbali kuuza na kununua vitu kwenye mitandao tofauti pamoja na huu wa JF.
Kinacho niboa unakuta mtu ametangaza kutafuta kitu fulani licha ya kuwa mbali mwingine anakua karibu lakini wanakua Kama wapuuzi hivi.
Yaani hawana userious Sasa wale wa Mikoani ndio kabisa mmoja alitangaza anataka kitu fulani nimempa picha nikimuulizia vipi unatuma mtu kukagua anasema eti mbona nina haraka sana khaaa!! Kumbe unataka kitu lakin hela huna au unataka kujua Bei ni Bora upost kuuliza utasaidiwa kuliko kusumbua watu.
Sometimes mtu anatumia mpaka gharama kuhakikisha unapata kitu kizuri lakini unakuta mnunuzi analeta vipengele.
HII IMENIKERA ACHENI BWANA
Kinacho niboa unakuta mtu ametangaza kutafuta kitu fulani licha ya kuwa mbali mwingine anakua karibu lakini wanakua Kama wapuuzi hivi.
Yaani hawana userious Sasa wale wa Mikoani ndio kabisa mmoja alitangaza anataka kitu fulani nimempa picha nikimuulizia vipi unatuma mtu kukagua anasema eti mbona nina haraka sana khaaa!! Kumbe unataka kitu lakin hela huna au unataka kujua Bei ni Bora upost kuuliza utasaidiwa kuliko kusumbua watu.
Sometimes mtu anatumia mpaka gharama kuhakikisha unapata kitu kizuri lakini unakuta mnunuzi analeta vipengele.
HII IMENIKERA ACHENI BWANA