Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
50 cent,Nas,P Diddy.P Diddy anasema kuoa ni kujibebesha majukumu makubwa yasiyo ya lazima.
kwa hapa bongo ambao hawajaoa ni Jay mo,ana miaka 41,mchizi moxie,Nikki mbishi [emoji23],p funk majani,aaa!!! samahani oo!! P funk kaoa, Duke pamoja na ukauzu wote ule nae kaoa,Sugu kaoa akiwa ana miaka 47[emoji3][emoji3][emoji3].
mimi nilipanga nitaoa nikiwa na 45, lakini nimeairisha na nimeamua kutokuoa kabisa,kamwe sitooa ila nimeshazalisha watatu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
haya wataje watu wengine wenye umri mkubwa ambao bado hawajaoa.
kwa hapa bongo ambao hawajaoa ni Jay mo,ana miaka 41,mchizi moxie,Nikki mbishi [emoji23],p funk majani,aaa!!! samahani oo!! P funk kaoa, Duke pamoja na ukauzu wote ule nae kaoa,Sugu kaoa akiwa ana miaka 47[emoji3][emoji3][emoji3].
mimi nilipanga nitaoa nikiwa na 45, lakini nimeairisha na nimeamua kutokuoa kabisa,kamwe sitooa ila nimeshazalisha watatu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
haya wataje watu wengine wenye umri mkubwa ambao bado hawajaoa.