Watakao kuwepo kwenye tume ya kuratibu katiba mpya

jino kwa jino

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
794
Reaction score
191
Hivi majuzi tumemsikia mheshimiwa Rais Dr JK akisema ataunda tume makini kuratibu mchakato wa kupata katiba mya, je hii tume inapaswa kuwa na watu gani?

nawakilisha
 
Hivi majuzi tumemsikia mheshimiwa Rais Dr JK akisema ataunda tume makini kuratibu mchakato wa kupata katiba mya, je hii tume inapaswa kuwa na watu gani?

nawakilisha

Tume feki sura ni zile zile,

Kutoka kwa mwizi wa kura yule yule,

wakoloni ngozi nyeusi wale wale,

vibaraka wale wale,

Hao hao waliowahi kutuhumiwa.

Sitaji hata mmoja,maana ni wale wale
 
Kwani we unaona nani anafaa!! mbona hujawasilisha mawazo yako?
 
kingunge ni mmoja wa wajumbe wa kamati ya katiba
 
Hivi majuzi tumemsikia mheshimiwa Rais Dr JK akisema ataunda tume makini kuratibu mchakato wa kupata katiba mya, je hii tume inapaswa kuwa na watu gani?

nawakilisha

ridhiwani, january, salma, vicky, na wale vijana wa THT
 
Hivi majuzi tumemsikia mheshimiwa Rais Dr JK akisema ataunda tume makini kuratibu mchakato wa kupata katiba mya, je hii tume inapaswa kuwa na watu gani?

nawakilisha

mkuu.. kuratibu katiba......?..... huko bado ...... ni hivi... constitution review commission..., tume ya kupitia katiba....
 
werema, makamba, hawa ghasia, wilson kabwe, lowassa, mungai, mramba, bila kumsahau mzee malecela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…