we utukome eeh..! tena utukome kabisa!! sisi hatutaki kuisikia hio JKT kabisa
na wakikosa ajira baada ya kutoka uko mtawazuiaje kwenda MSITUNI?.
jitegemee=jeshiya jeshi
Wazumbe huwa hawaongei kwa lugha kama hiyo!!!
mbona sioni Marian girls, Feza boys, St marys, Shaaban robert, Loyola, Mzizima etc zile wanazosoma watoto wa..
Nchi hii ina ubaguzi sijawai ona, watoto wa wakulima wanawapeleka kupiga kwata wakati watoto wao wanakula kuku home...
Nina uhakika hakutakuwa na mtoto wa marian, feza wala st kuch kuch atakayekanyaga JKT
Naitabiria tanzania itakuwa na m23,bokoharamu,alshabaaab,za kutosha sana miaka mitano ijayo!
wastage of time and tax payer's money kuna nini kitakacholeta maendeleo ya maisha ya watu aka huduma za jamii bora na utawala wa sheria? sanasana watoto wa walala hoi ndo watajazana huko, ili kulima mashamba ya mafisadi. haya mtazalisha na mengine hii ni generation tofauti.acha nchi irudi kwenye nidhamu kidogo.
wastaege of time and tax payer's money kuna nini kitakacholeta maendeleo ya maisha ya watu aka huduma za jamii bora na utawala wa sheria? sanasana watoto wa walala hoi ndo watajazana huko, ili kulima mashamba ya mafisadi. haya mtazalishaji na mengine hii ni generation tofauti.
mbona sioni Marian girls, Feza boys, St marys, Shaaban robert, Loyola, Mzizima etc zile wanazosoma watoto wa..
Nchi hii ina ubaguzi sijawai ona, watoto wa wakulima wanawapeleka kupiga kwata wakati watoto wao wanakula kuku home...
Nina uhakika hakutakuwa na mtoto wa marian, feza wala st kuch kuch atakayekanyaga JKT
Shule zingine ambazo hazijatajwa inakuwaje...?