Watalaam wa audio recording na sound engineers, je huu mziki umerekodiwa kwa vyombo live?

Watalaam wa audio recording na sound engineers, je huu mziki umerekodiwa kwa vyombo live?

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246


Eti huu wimbo, unaweza kuwa umerekodiwa wakati wa kuteneneza video? Yani hii video na audi vimefanyika wakati mmoja, vyombo vikipigwa live kama inavyoonekana. Au ni kwamba wamerekodi video wakaimba ila audio ikawa replaced na audio waliosharekodi kwenye studio.

Napenda huyo mpiga drum anavyozipga kama band ya maskauti vile au polisi .
 


Eti huu wimbo, unaweza kuwa umerekodiwa wakati wa kuteneneza video? Yani hii video na audi vimefanyika wakati mmoja, vyombo vikipigwa live kama inavyoonekana. Au ni kwamba wamerekodi video wakaimba ila audio ikawa replaced na audio waliosharekodi kwenye studio.

Napenda huyo mpiga drum anavyozipga kama band ya maskauti vile au polisi .

Nimejitahidi kusikiliza kwa headphones. Inawezekana kabisa ilikuwa Live sema sauti ya kwenye video camera ilirekodiwa kutoka kwenye Mixer moja kwa moja na sio mic ya camera. Na kama mdau alivyosema hapo engineer walikuwa makini na kucheza na hizo audio channel, ndio maana sauti za waumini zilikuwa controlled zikisikika kidogo mwanzoni na mwisho tena kwa kiasi.
 
Nimejitahidi kusikiliza kwa headphones. Inawezekana kabisa ilikuwa Live sema sauti ya kwenye video camera ilirekodiwa kutoka kwenye Mixer moja kwa moja na sio mic ya camera. Na kama mdau alivyosema hapo engineer walikuwa makini na kucheza na hizo audio channel, ndio maana sauti za waumini zilikuwa controlled zikisikika kidogo mwanzoni na mwisho tena kwa kiasi.
Hiki kitu si kinaweza fanyika kwenye show za live za wasanii maana sauti zinakuwaga hazisikiki
 
Vyombo live! sema sound engineer, visual operator na production team walikuwa na nidhamu.
kwanini show za bongo kama fiesta au zile wasanii wakiperform na live band hawafanyi hivi hadi sauti zinakuwaga mbovu?
 


Eti huu wimbo, unaweza kuwa umerekodiwa wakati wa kuteneneza video? Yani hii video na audi vimefanyika wakati mmoja, vyombo vikipigwa live kama inavyoonekana. Au ni kwamba wamerekodi video wakaimba ila audio ikawa replaced na audio waliosharekodi kwenye studio.

Napenda huyo mpiga drum anavyozipga kama band ya maskauti vile au polisi .

Hawa watu wa Gospel sound production zao huwa wanatumia vifaa vya ukweli sana with proffessional sound engineers. Wapiga vyombo wana uzoefu so lazima mziki uwe mzuri na soulful. Huwezi tizama hii clip bila kutikisa kichwa at some point. Vibe linaanza chini ila linapanda kadri vyombo vinavyochanganya.
 
Hawa watu wa Gospel sound production zao huwa wanatumia vifaa vya ukweli sana with proffessional sound engineers. Wapiga vyombo wana uzoefu so lazima mziki uwe mzuri na soulful. Huwezi tizama hii clip bila kutikisa kichwa at some point. Vibe linaanza chini ila linapanda kadri vyombo vinavyochanganya.
Kabisa Mkuu yani unasikia kila kitu. Inabidi Bongo fleva nao show zao waanze kuinvest hivi siyo tu kuweka viingilio meza milion
 
Kabisa Mkuu yani unasikia kila kitu. Inabidi Bongo fleva nao show zao waanze kuinvest hivi siyo tu kuweka viingilio meza milion
Wazalishaji wenyewe ndio hao akina Laizar. Nyimbo kumi kila nyimbo ina sound kivyake.
 
Wazalishaji wenyewe ndio hao akina Laizar. Nyimbo kumi kila nyimbo ina sound kivyake.
😂😂😂 Unawachokoza akina Joseph mkuu. Sema inabidi watu kweli wawekeze kwenye production.
 
😂😂😂 Unawachokoza akina Joseph mkuu. Sema inabidi watu kweli wawekeze kwenye production.
Sikiliza nyimbo 10 za P funk alizomix utanielewa fresh. Hamna nyimbo yenye makele ya kuzidi nyenzake
 
Back
Top Bottom