Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vipi
Kuna kitu cha ajabu huwa kinanitokea kwa muda mrefu sasa, nikawa nachukulia kama jambo la kawaida ila sasa naona..sio jambo la kawaida kabisa.
Iko hivi kipindi nasoma kuanzia secondary mpaka university, nikichua daftari au paper kusoma mara mara japo sio kila siku inajitokeza kitu kama kinywele kinakaa pale kwenye daftari au paper ninayosoma kipindi cha nyuma ilikuwa nachukulia kama jambo la kawaida ila sasa naona nilichunguze kwa undani zaidi kama ni kawaida au la.
Kwa sasa hali hii nimeanza kuona mara kwa mara kwenye simu ninayotumia. Nikiwa nafanya mambo yangu kile kinywele kinajitokeza juu ya screen ya simu najiuliza kinatoka wapi na kwanini kinajitokeza katika mazingira kama haya.
Naombeni ushauri juu ya hili kwasababu limeanza kuniumiza kichwa, hichi nini.
Kuna kitu cha ajabu huwa kinanitokea kwa muda mrefu sasa, nikawa nachukulia kama jambo la kawaida ila sasa naona..sio jambo la kawaida kabisa.
Iko hivi kipindi nasoma kuanzia secondary mpaka university, nikichua daftari au paper kusoma mara mara japo sio kila siku inajitokeza kitu kama kinywele kinakaa pale kwenye daftari au paper ninayosoma kipindi cha nyuma ilikuwa nachukulia kama jambo la kawaida ila sasa naona nilichunguze kwa undani zaidi kama ni kawaida au la.
Kwa sasa hali hii nimeanza kuona mara kwa mara kwenye simu ninayotumia. Nikiwa nafanya mambo yangu kile kinywele kinajitokeza juu ya screen ya simu najiuliza kinatoka wapi na kwanini kinajitokeza katika mazingira kama haya.
Naombeni ushauri juu ya hili kwasababu limeanza kuniumiza kichwa, hichi nini.