Watalaam wa mambo ya social media marketing, msaada hapa

Watalaam wa mambo ya social media marketing, msaada hapa

Strive

Member
Joined
Jul 1, 2022
Posts
88
Reaction score
110
Ninyooshe maelezo moja kwa moja kwny mada. Hivi ni kipi bora kutumia account yako binafsi ya mitandao ya kijamii kupost kazi/ biashara yako or kutengeneza account rasmi ya biashara ndio uitumie kupost. Ipi ni njia bora zaid kwa sisi weny biashara ndogo ndogo?
 
Tumia account yako tu mkuu, jitahidi kuiboost kwa promo na kuitangaza kwa watu maarufu. Angalizo usitumie account hiyo hiyo kucomment kwenye mambo ya hovyo kama huwez hilo bora kufungua tu mpya.
 
Tumia account yako tu mkuu, jitahidi kuiboost kwa promo na kuitangaza kwa watu maarufu. Angalizo usitumie account hiyo hiyo kucomment kwenye mambo ya hovyo kama huwez hilo bora kufungua tu mpya.
Oukei mkuu!
 
Tengeneza Page alafu tumia Ads, Unyama unakua mwingi sana
 
Nakushauri tumia akaunti ya biashara, itakupa njia nyingi za kutangaza biadhara yako tofauti na akaunti binafsi.
 
Back
Top Bottom