Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekuandikia kakupa maelekezo gani? Unasumbuliwa na ugonjwa gani? Umenunua pharmacy au hospital?Naenda kwenye maada
Eti jamii ya hizi dawa kikawaida unatakiwa kufunua na kumimina unga wake au unameza nzima kama ilivyo?
Nmeuliza kwasababu wengine wanakupa maelezo kua usifunue umeze zilivyo wengne ufungue, basi tunaomba jamii ya dawa hiziView attachment 1095664View attachment 1095665
Mwambie na majiIzo unameza kama zilivyo
Aliyekuandikia kakupa maelekezo gani? Unasumbuliwa na ugonjwa gani? Umenunua pharmacy au hospital?
Basi umeleta jambo la kitoto sana jf, nenda shule sasa kumekucha.Siumwi nimeweka hizo dawa jamii hiyo ambazo Hua ni unga ndani yake ili niweze kujifunza
Duu Mungu wangu.... Hiyo inanywewa kama ilivyo...Inajua huku kwetu polini sana yaani hatuwaamini hata wauzaji ktka maelezo wanayotupa ila ungonjwa utakaokusumbua mfano kama kikohozi unakua unjua dawa gani hua inakuponyesha ila maada yangu ulikua nijue tu kuusu kufungua au kumeza mazima, yeye huwapa maelezo kua wafungue wajimiminie unga
Pole. Hizo dawa huwa hatufungui. Ukizifungua wakati wa kumeza huwa zinaharibiwa na mfumo wa ulinzi wa mwili mf Kimeng'enya kinachopatikana kwenye njia ya chakula. Hizo dawa zimewekewa hiyo cover kuzuiwa kuharibiwa ili zifike mahali pa absorption zikiwa salama na hiyo cover itadissolve vzr ikifika kwenye saiti ya kumeng'enywa. Ukizifungua unazipunguzia effectiveness yake ya kutibu.Inajua huku kwetu polini sana yaani hatuwaamini hata wauzaji ktka maelezo wanayotupa ila ungonjwa utakaokusumbua mfano kama kikohozi unakua unjua dawa gani hua inakuponyesha ila maada yangu ulikua nijue tu kuusu kufungua au kumeza mazima, yeye huwapa maelezo kua wafungue wajimiminie unga