Wataliban wamewawaaibisha Wamarekani

Wataliban wamewawaaibisha Wamarekani

papason

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2010
Posts
5,119
Reaction score
5,698
Marekani na washirika wake pamoja na kutumia takribani dola bilioni 89 ($89 billions) kwa kuvifundisha na kuvipa silaha vikosi vya jeshi la Afghanistan kwa takribani miaka 20 hivi, iliwachukua mwezi mmoja tuu kwa Taliban kuvi fyekelea mbali na kuvisambaratisha vikosi vya jeshi la Afghanistan baada ya ‘washirika wao’ kutangaza kuviondoa vikosi vyao nchini Afghanistan.

‘‘Allahu Akbar’ wapiganaji wetu wamefanikiwa kuichukua ikulu huku serikali dhalimu ikianguka, kibaraka mkuu ( raisi Ashraf Ghani ) na vikosi vyake wamekimbia na sasa vita imekwisha.!

’ haya maneno ya msemaji wa Wa -Taleban Suhail Shaheen na kuwaasa wakazi wa Kabul hawana haja ya kuwa na wasiwasi na kwamba mali na maisha yao ni salama. "Sisi ni watumishi wa watu na wa nchi hii,"

Taliban imetangaza ushindi nchini Afghanistan baada ya kuteka mji mkuu Kabul, na kutamatisha karibu miaka 20 uwepo wa Marekani na washirika wake nchini humo

Kutokea Kandahar ( kusini mwa nchi) adi Mazar-i-Sharif ( kaskazini), Herat ( Magharibi) mpaka Jalalabad ( mashariki) huku Kabul ukiwa mji mkuu wa mwisho nchini Afghanistan kudhibitiwa na Taliban, baada ya wapiganaji wake kuikamata miji zaidi ya miji kumi kwa muda wa siku kumi tuu. Aliye kuwa raisi, Ashraf Ghani, alitimua mbio na kukimbilia Tashkent katika nchi jirani ya Uzbekistan

Kikubwa zaidi kwa takriban masaa 36 tangu wa Taleban wauteke mji wa Kabul, hakuna raia au mwananjeshi yeyote aliye uwawa au kuchinjwa tofauti kabisa na ilivyo kuwa ikielezwa apo kabla na Marekani na washirika wake kuwa watu wengi watauwaa na kuchinjwa pindi Wa Taleban watakapo ingia Kabul....

Kongole kwa Wa Taleban kwa kuweza kuidhibiti tena nchi walionyang'anywa na wavamizi takribani miaka 20 iliyo pita,
 
Marekani na washirika wake pamoja na kutumia takribani dola bilioni 89 ($89 billions) kwa kuvifundisha na kuvipa silaha vikosi vya jeshi la Afghanistan kwa takribani miaka 20 hivi, iliwachukua mwezi mmoja tuu kwa Taliban kuvi fyekelea mbali na kuvisambaratisha vikosi vya jeshi la Afghanistan baada ya ‘washirika wao’ kutangaza kuviondoa vikosi vyao nchini Afghanistan.
Kwa nini Taleban wameweza kurudi madarakani baada ya Marekani kuondoa vikosi vyao? Kwa nini Taleban hawakuthubutu kurudi katika miaka yote 20 wakati Marekani ameweka vikosi vyake Afghanstan?
 
Sasa kama hakuna taaruki hawa wanaokimbia nchi yao ujui wanakimbia kwa nini !
IMG_8449.jpg

IMG_8452.jpg

IMG_8447.jpg

IMG_8445.jpg
 
Kwa nini Taleban wameweza kurudi madarakani baada ya Marekani kuondoa vikosi vyao? Kwa nini Taleban hawakuthubutu kurudi katika miaka yote 20 wakati Marekani ameweka vikosi vyake Afghanstan?
Ongezea. Kwanini marekani ilishindwa kuimaliza talebani kwa miaka 20? Kwanini marekani iliteka miji takribani 90% ya Afghanistan lakini wakashindwa kuilinda na kukimbilia kabul tu! Kwanini miaka yote 20 akuweza kuuteka mji wa Kandahar?

Vita sio ugali
 
Hujui ulisemalo..... Haya mambo yanataka uwe na elimu hata ya wastani tu
IMG-20210816-WA0013.jpg




Marekani na washirika wake pamoja na kutumia takribani dola bilioni 89 ($89 billions) kwa kuvifundisha na kuvipa silaha vikosi vya jeshi la Afghanistan kwa takribani miaka 20 hivi, iliwachukua mwezi mmoja tuu kwa Taliban kuvi fyekelea mbali na kuvisambaratisha vikosi vya jeshi la Afghanistan baada ya ‘washirika wao’ kutangaza kuviondoa vikosi vyao nchini Afghanistan.

‘‘Allahu Akbar’ wapiganaji wetu wamefanikiwa kuichukua ikulu huku serikali dhalimu ikianguka, kibaraka mkuu ( raisi Ashraf Ghani ) na vikosi vyake wamekimbia na sasa vita imekwisha.!

’ haya maneno ya msemaji wa Wa -Taleban Suhail Shaheen na kuwaasa wakazi wa Kabul hawana haja ya kuwa na wasiwasi na kwamba mali na maisha yao ni salama. "Sisi ni watumishi wa watu na wa nchi hii,"

Taliban imetangaza ushindi nchini Afghanistan baada ya kuteka mji mkuu Kabul, na kutamatisha karibu miaka 20 uwepo wa Marekani na washirika wake nchini humo

Kutokea Kandahar ( kusini mwa nchi) adi Mazar-i-Sharif ( kaskazini), Herat ( Magharibi) mpaka Jalalabad ( mashariki) huku Kabul ukiwa mji mkuu wa mwisho nchini Afghanistan kudhibitiwa na Taliban, baada ya wapiganaji wake kuikamata miji zaidi ya miji kumi kwa muda wa siku kumi tuu. Aliye kuwa raisi, Ashraf Ghani, alitimua mbio na kukimbilia Tashkent katika nchi jirani ya Uzbekistan

Kikubwa zaidi kwa takriban masaa 36 tangu wa Taleban wauteke mji wa Kabul, hakuna raia au mwananjeshi yeyote aliye uwawa au kuchinjwa tofauti kabisa na ilivyo kuwa ikielezwa apo kabla na Marekani na washirika wake kuwa watu wengi watauwaa na kuchinjwa pindi Wa Taleban watakapo ingia Kabul....

Kongole kwa Wa Taleban kwa kuweza kuidhibiti tena nchi walionyang'anywa na wavamizi takribani miaka 20 iliyo pita,
 
ungekuwa unazijua vizuri siasa za beberu mkuu ungekaa kimya..

Hivi unafahamu beberu mkuu aliondoka Afghanistan bila kumpa mtu yeyote taarifa hata serikali haikujua kama anaondoka..? Jiulize kwanini?..
 
Mwaka 2001 wakati bebeeru anaivamia Afghanistan kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi walimtumia 'Marshal Abul Rashid Dostum' huyu mbabe ndiye aliyefwatua risasi ya kwanza ya kuwafurusha Wa - Taleban madarakani akitokea Mazar-i-Sharif kaskazini mwa nchi na badaaye wababe wengine kama akina Mohammad Noor waka muunga mkono, lakini cha ajabu baada ya wa Taleban kufukuzwa, bebeeru alikuja na list ya vibaraka wake hawa ndiyo aliwa kabidhi nchi na kuwaweka kando 'makamanda' walio msaidia kuwafukuza Taleban. Fun enough hao vibaraka baada ya kuzidiwa kwenye uwanja wa vita waka waomba akina 'Rashid Dostum' wawasaide kubaki madarakani, walipo kataliwa, mBio tuu ndiyo ndizo zilizo okoa Maisha ya vibaraka…...
 
Ongezea. Kwanini marekani ilishindwa kuimaliza talebani kwa miaka 20? Kwanini marekani iliteka miji takribani 90% ya Afghanistan lakini wakashindwa kuilinda na kukimbilia kabul tu! Kwanini miaka yote 20 akuweza kuuteka mji wa Kandahar?

Vita sio ugali
Unapaswa kuelewa kwamba role ya jeshi la ardhin la Marekani wakati wa utawala wa Obama ilibadilishwa na kuwa assist mission-Kazi yake haikuwa tena kupambana na watalibani moja kwa moja bali kulisaidia jeshi la Afgan kwenye intelligence na air support ilipohitajika.Unapaswa kuelewa hili.
 
Kuna nchi gani Mmarekani amewahi kwenda akamaliza vita kisha akawaacha salama?

Libya hadi sasa hivi wana hali mbaya kuliko awali, Iraq hali kadhalika.
 
Marekani na washirika wake pamoja na kutumia takribani dola bilioni 89 ($89 billions) kwa kuvifundisha na kuvipa silaha vikosi vya jeshi la Afghanistan kwa takribani miaka 20 hivi, iliwachukua mwezi mmoja tuu kwa Taliban kuvi fyekelea mbali na kuvisambaratisha vikosi vya jeshi la Afghanistan baada ya ‘washirika wao’ kutangaza kuviondoa vikosi vyao nchini Afghanistan.

‘‘Allahu Akbar’ wapiganaji wetu wamefanikiwa kuichukua ikulu huku serikali dhalimu ikianguka, kibaraka mkuu ( raisi Ashraf Ghani ) na vikosi vyake wamekimbia na sasa vita imekwisha.!

’ haya maneno ya msemaji wa Wa -Taleban Suhail Shaheen na kuwaasa wakazi wa Kabul hawana haja ya kuwa na wasiwasi na kwamba mali na maisha yao ni salama. "Sisi ni watumishi wa watu na wa nchi hii,"

Taliban imetangaza ushindi nchini Afghanistan baada ya kuteka mji mkuu Kabul, na kutamatisha karibu miaka 20 uwepo wa Marekani na washirika wake nchini humo

Kutokea Kandahar ( kusini mwa nchi) adi Mazar-i-Sharif ( kaskazini), Herat ( Magharibi) mpaka Jalalabad ( mashariki) huku Kabul ukiwa mji mkuu wa mwisho nchini Afghanistan kudhibitiwa na Taliban, baada ya wapiganaji wake kuikamata miji zaidi ya miji kumi kwa muda wa siku kumi tuu. Aliye kuwa raisi, Ashraf Ghani, alitimua mbio na kukimbilia Tashkent katika nchi jirani ya Uzbekistan

Kikubwa zaidi kwa takriban masaa 36 tangu wa Taleban wauteke mji wa Kabul, hakuna raia au mwananjeshi yeyote aliye uwawa au kuchinjwa tofauti kabisa na ilivyo kuwa ikielezwa apo kabla na Marekani na washirika wake kuwa watu wengi watauwaa na kuchinjwa pindi Wa Taleban watakapo ingia Kabul....

Kongole kwa Wa Taleban kwa kuweza kuidhibiti tena nchi walionyang'anywa na wavamizi takribani miaka 20 iliyo pita,
Kuielewa Marekani hasa kwenye vision na sera zake inahitaji uelewa mpana sana wa mambo-CIA and other US intelligency agencies wanaelewa picha halisia ya haya mambo zaid hata ya public,In nutshell
-Marekani inajiondoa Afganistan ili waweze ku-mobilize resources zao kupambana na China kwenye every sphere of influence.
-China na Russia walikuwa wanapendelea US aendelee kubaki Afganistan ili wao waendelee kujenga chumi zao na US iendelee kupoteza pesa na kuwa bunkrupt.
-Kuondoka kwa US Afganistan kunawaumiza vichwa China na Russia kwa sababu wanaachiwa na Marekani changamoto kubwa sana ya kiusalama sababu Afganistan iko milangoni mwao-Na US anajua vyema kwamba anawaachia mzigo wa ku-deal nao.
 
Back
Top Bottom