Wataliban wamewawaaibisha Wamarekani

hongereni sn kama uyu afisa trafiki wa taleban...= ? mbowe vipiii
 
ungekuwa unazijua vizuri siasa za beberu mkuu ungekaa kimya..

Hivi unafahamu beberu mkuu aliondoka Afghanistan bila kumpa mtu yeyote taarifa hata serikali haikujua kama anaondoka..? Jiulize kwanini?..
We muongo, utaratibu wa kuondoka ulianza kipindi cha trump na hilo jambo kuwekwa wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…