Hiyo ni midume. mmezoea wazungu tu. sasa kazi kwenu.
kelele zote si sababu ya mazingira ni kukosa parcent tu, wange pozwa na vijidola wote wangenyamaza.
Acheni ubaguzi na inaonyesha hufahamu kinacho endelea katika utalii na uwindaji. Hakuna mtu anayeruhusiwa kuwinda katika National Parks. Hawa waraabu na makampuni mengine (including ya wamarekani) wanawinda katika hunting blocks ambazo zipo nje kabisa na National Parks. Biashara ya kuwinda ilianza kenya miaka mingi na yapo makampuni mengi yanawinda huko.
You have to research before coming up with allegations.
jamani, hao si wapo kwa mujibu wa sheria. sasa tatizo ni uarabu???? We should think big.
Unashindwa nini kusema wewe sio muislamu? Kigugumizi cha nini?
Amandla.....
Dini ya Eddie sio mada hapa. Unataka nikuambie mimi mmisheni mwenzio ili iweje?
Omr sina utumwa wa kidini mimi
Watumwa wa dini ni ninyi waislamu,na Mzee wenu mwinyi aliyediriki kuibadili Tanzania kuwa The uNITED iSLAMIC rEPUBLIC of tanzania akagonga mwamba,hahahah,wasomi walimuumbua,akakosa pumzi,hadi anakwenda kaburini laana hii itamfuata tuu,haikwepeki.