DOKEZO Watalii walalamikia huduma mbovu za Idara ya Uhamiaji KIA

DOKEZO Watalii walalamikia huduma mbovu za Idara ya Uhamiaji KIA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Kwenye mapungufu lazima tuseme na moja la pungufu kwa Idara ya Uhamiaji ni huduma mbovu si kwa wageni pekee hata kwa Watanzania.

Idara hii imekuwa ikifanya shughuli zake kwa maringo na kujisikia sana!

Mipakani kwa mfano unakuta Afisa hayupo dirishani na yupo pembeni akiperuzi simu yake huku foleni ya wahitaji huduma ikiwa ndefu!

 
Kwenye mapungufu lazima tuseme na moja la pungufu kwa Idara ya Uhamiaji ni huduma mbovu si kwa wageni pekee hata kwa Watanzania.

Idara hii imekuwa ikifanya shughuli zake kwa maringo na kujisikia sana!

Mipakani kwa mfano unakuta Afisa hayupo dirishani na yupo pembeni akiperuzi simu yake huku foleni ya wahitajio huduma ikiwa ndefu!View attachment 2436241
Mpaka ccm itoke madarakani mambo hayatakuwa marahisi Nchi hii.
 
Halafu kuna kamtu kanasema aliyechukua hiyo video si mzalendo, hvi wanatuonaje? Kuna vitu vinafanywa serikalini hadi unatamani kupige mtu makofi.
 
Time is about every thing, shame to workers of that department aibu kubwa hii, Rais ameamsha dude wapuuzi wachache wana fanya sabotage....... 😨😨😨
 
Back
Top Bottom