Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Hizo ndio Kauli nazisikia wadau wakiniambia....
Mapato, na Mikopo navyo tunapata, yaani mambo yapo sawa sawia...
LAKINI najiuliza hizo Pesa zote za hao watalii, mikopo na Tozo tunazopata kwanini sioni maendeleo kitaa sambamba na hizo neema tunazopata ?
Ni wapi panavuja ? Kama Royal Tour tumepata watalii lukuki ambao hapo nyuma hatukuwapata. Hizo chenji za ziada zinakwenda / zimekwenda wapi ?
Mapato, na Mikopo navyo tunapata, yaani mambo yapo sawa sawia...
LAKINI najiuliza hizo Pesa zote za hao watalii, mikopo na Tozo tunazopata kwanini sioni maendeleo kitaa sambamba na hizo neema tunazopata ?
Ni wapi panavuja ? Kama Royal Tour tumepata watalii lukuki ambao hapo nyuma hatukuwapata. Hizo chenji za ziada zinakwenda / zimekwenda wapi ?