Ni Wakenya ambao wamesema Kenya anahitajika mtu kama Tundu Lisu ambaye hana maslahi binafsi kwenye mambo ya Biashara
Wamedai kampuni za Saudia na UAE walisaini Mkataba wa kusaidiana kuingia Mafuta na Rais Ruto aliwaahidi Ksh itapanda thamani dhidi ya Dollar lakini aliposema rate ilikuwa Ksh 133 kwa 1 US Dollar lakini leo miezi 6 imepita rate ni Ksh 146 kwa 1 US Dollar
Wamedai Azimio hawaongeagi kwa data kama yule mTZ Tundu Antipas Lisu
Ni hayo tu!