Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Leo katika mwendelezo wa kuchambua na kuijua Iran kiundani zaidi ni muhimu kuwatambua hawa watu ni wa aina gani na asili yao ni wapi.
Waajemi
Neno waajemi ni neno la kiswahili lilitoholewa kutoka kwenye lugha ya kiaarabu al-'ajam ikiwa na maana ya watu wasioweza kuzungumza kiarabu neno la kiarabu (Ajam) likiwa na maana ya mute.
Katika kusambaa kwa utamaduni wa waarabu waliwaita watu wasioweza kuongea lugha ya kiarabu kuwa ni Al-'ajam. Kwakuwa kiswahili kilianza kuzungumzwa pwani ya Tanzania na watawala wa eneo hilo walikuwa ni waarabu kutoka omani waliwaita watu kutoka "Persia" kuwa ni Al-'ajam. Wengi walitoka katika eneo linaloitwa "Shiraz". Na hawa washirazi waliungana na Waafrika akitika kupinga unyonyaji wa waarabu. Huko zanzibar walianzisha chama cha siasa kinachoitwa Afro-Shiraz Party (ASP)
Neno Persia
Kuna mji mmoja huko Iran ulikuwa unaitwa Persia, lakini wagriki waliwaita watu wote waliotoka huko ni Persia. Kutokana na hitoria ya maeneo mengi kuandikwa na wagriki utawala huo (Kutoka Western world) uliitwa Persian Empire.
Greece refers to all of Iran and its subjects as Persia.
Je, Warani walitokana na Makabila Yapi?
Watu wa Irani waliibuka katika millennium ya kwanza BC. Makabila yaliyowahusisha wa Iran ni:-
Je, Kwa Sasa Wairan ni Akina nani?
Wairan sio wale tu wanaoishi katika nchi ya Iran. Bali wairan ni pamoja na:-
Waajemi
Neno waajemi ni neno la kiswahili lilitoholewa kutoka kwenye lugha ya kiaarabu al-'ajam ikiwa na maana ya watu wasioweza kuzungumza kiarabu neno la kiarabu (Ajam) likiwa na maana ya mute.
Katika kusambaa kwa utamaduni wa waarabu waliwaita watu wasioweza kuongea lugha ya kiarabu kuwa ni Al-'ajam. Kwakuwa kiswahili kilianza kuzungumzwa pwani ya Tanzania na watawala wa eneo hilo walikuwa ni waarabu kutoka omani waliwaita watu kutoka "Persia" kuwa ni Al-'ajam. Wengi walitoka katika eneo linaloitwa "Shiraz". Na hawa washirazi waliungana na Waafrika akitika kupinga unyonyaji wa waarabu. Huko zanzibar walianzisha chama cha siasa kinachoitwa Afro-Shiraz Party (ASP)
Neno Persia
Kuna mji mmoja huko Iran ulikuwa unaitwa Persia, lakini wagriki waliwaita watu wote waliotoka huko ni Persia. Kutokana na hitoria ya maeneo mengi kuandikwa na wagriki utawala huo (Kutoka Western world) uliitwa Persian Empire.
Greece refers to all of Iran and its subjects as Persia.
Je, Warani walitokana na Makabila Yapi?
Watu wa Irani waliibuka katika millennium ya kwanza BC. Makabila yaliyowahusisha wa Iran ni:-
- Alans
- Bactria
- Dahae
- Khwarazm
- Massagetae
- Medes
- Parthians
- Sagartians
- Sakas
- Sarmatians (Wasamalia kwenye Biblia)
- Scythians
- Sogdians
- Cimmerians
Je, Kwa Sasa Wairan ni Akina nani?
Wairan sio wale tu wanaoishi katika nchi ya Iran. Bali wairan ni pamoja na:-
- Baloch (Hawa wapo Iran, Pakistan na Afghanistan)
- Gilaks (Hawa wapo kusini mwa Caspian Sea)
- Kurds (Hawa wapo Uturuki, Iraq, Syria na Iran)
- Lurs (Hawa wapo Magharibi mwa Iran)
- Mazanderanis(Hawa wapo Maeneo ya Caspian Sea)
- Ossetians (Hawa wapo kwa wingi Russia na Georgia)
- Pamiris (Wapo kwa wingi Tajikistan, Afghanistan, Pakistan na China)
- Pashtuns (Wapo kwa wingi, Pakistan, Afghanistan na India)
- Tats (Wapo kwa wingi Azerbaijan na Russia)
- Tajiks (Wapo kwa wingi Afghanistan, Tajikistan na Uzbekistan)
- Talysh (Wapo kwa wingi Azerbaijan na Iran)
- Wakhi (Wapo kwa wingi Afghanistan, Tajikistan, Pakistan na China)