Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,541
- 2,187
Sipendi makuu tecno k7
HayaTwende
Tafiti inaonesha watumiaji wa iPhone(so wote) mna hali ngumu sana kiuchumi tukilinganisha na watumiaji wa itel.Xs Max Iphone [emoji336] Mnyama
Kwenye desktop za cafewale tunalipia hela internet cafe kila siku tunakomenti wapi?
Inatengenezwa Afrika au overseas ?Oppo!
Mbona sijaona anayetumia hii simu? Wengi samsung na tecno
Inatengenezwa Afrika au overseas ?
Tecno zinatoka Nigeria huko ujueOversees! Kuna simu inatengenezewa africa?
Tach maana yake nini ?Itel ya tach jina siijui mpka sasa
PamojaItel AF32
Total wrong,just imagine nimenunua m5 in tshs,sio rahisi kuwa katika hali ngumu,kama ulivyooanisha.Tafiti inaonesha watumiaji wa iPhone(so wote) mna hali ngumu sana kiuchumi tukilinganisha na watumiaji wa itel.