Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
- Thread starter
-
- #201
Hata mimi ninayo. Ikikusumbue nitafute nikupe yangu.Tecno y3
Wewe ni mmoja kati ya wengi wanaozimiliki kwa show off.Total wrong,just imagine nimenunua m5 in tshs,sio rahisi kuwa katika hali ngumu,kama ulivyooanisha.
First seat.... Samsung hapa... japo me ni huawei fanboy
Samsung
Sawa mkuu, asante sana in advanceHata mimi ninayo. Ikikusumbue nitafute nikupe yangu.
Karibu sana mkuu. Maandalizi ya mahali kwa kufikia yameshafanyika in advance.Sawa mkuu, asante sana in advance
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Karibu sana mkuu. Maandalizi ya mahali kwa kufikia yameshafanyika in advance.
Tukuandalie na chumba cha kulala au guest room panatosha ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Kwenye desktop 😂😂wale tunalipia hela internet cafe kila siku tunakomenti wapi?