Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Wana JF
Roho inauma na mawzo kichwa tele, kuna mawingu ya giza na kujawa na magharibi ya moyo, ni hunzuni na masikitisho makubwa kuona binadamu anadhalilishwa kisaikolojia ndani ya nchi yake
leo taifa zima la Tanganyika limefanywa refugee katika nchi yao bila kujijuwa, hili linaleta ni aibu na fedheha kuona kati yao hao watangayika hakuna hata mmoja anayethubutu hata kujaribu kujivua status ya urifujii
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa mtu asiekuwa na taifa anakuwa hana uraia na hapo alipo anakuwa refugee,
ingawaje watanganyika hawakuondoka kutoka katika ardhi yao, lakini wamenyimwa uraia wao kwasabau taifa lao lilivunjwa pale Tanganyika kama vile mfano lipogaiwa bure kwa nchi ya znz kwa kutumia muungano, kwasabau serikali ya znz ipo na uraia wa znz upo kwahivo tangayika ilisabiliwa znz kiujanja.
leo mtanganyika hana ID inayoonesha kuwa yeye ni mtanganyika, hana serikali inayomtambulisha yeye kuwa ni mtangayika kwahivo hiyo ni sabau tosha kwamba watanganyika ni refugee tu ndnai ya tz.
hii ni changa moto kwa wale wanaopenda kujijuwa
Roho inauma na mawzo kichwa tele, kuna mawingu ya giza na kujawa na magharibi ya moyo, ni hunzuni na masikitisho makubwa kuona binadamu anadhalilishwa kisaikolojia ndani ya nchi yake
leo taifa zima la Tanganyika limefanywa refugee katika nchi yao bila kujijuwa, hili linaleta ni aibu na fedheha kuona kati yao hao watangayika hakuna hata mmoja anayethubutu hata kujaribu kujivua status ya urifujii
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa mtu asiekuwa na taifa anakuwa hana uraia na hapo alipo anakuwa refugee,
ingawaje watanganyika hawakuondoka kutoka katika ardhi yao, lakini wamenyimwa uraia wao kwasabau taifa lao lilivunjwa pale Tanganyika kama vile mfano lipogaiwa bure kwa nchi ya znz kwa kutumia muungano, kwasabau serikali ya znz ipo na uraia wa znz upo kwahivo tangayika ilisabiliwa znz kiujanja.
leo mtanganyika hana ID inayoonesha kuwa yeye ni mtanganyika, hana serikali inayomtambulisha yeye kuwa ni mtangayika kwahivo hiyo ni sabau tosha kwamba watanganyika ni refugee tu ndnai ya tz.
hii ni changa moto kwa wale wanaopenda kujijuwa