Watangaza utalii wageuka watalii scandinavia

Watangaza utalii wageuka watalii scandinavia

Selungo

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2009
Posts
1,271
Reaction score
403
WANA JF!

Hapa nchini Finland mjini Helsinki yapo maonesho ya kimataifa ya kutangaza utalii. Karibu nchi zote duniani zimeleta wawakilishi wa kutangaza vivutio vyao hapa ikiwa ni pamoja na jirani zetu wa Kenya.
Cha kushangaza kama kawaida ya Watanzania, jamaa waliotumwa kuiwakilisha nchi yetu katika maonesho haya ya siku saba, walikuwa kwenye banda lao kwa siku moja na nusu tu. Baada ya hapo jamaa wamepanda boti na ninavyo tuma taarifa hii wapo nchini Sweden watumbua kwa raha zao. Cha ajabu Rais wa nchi ya Finland amepita kuangalia na kujionea shughuli katika maonesho haya na alipo fika banda la Tanzania alishangaa kuona analazimika kujiokotea mwenyewe vipeperushi bila kuona wataalam wa utalii Tanzania ili kupata maelezo ya kina kuhusu vivutio vyetu. Vile vile watu wengi hapa wameonyesha nia ya kutembelea Tanzania kwani walikuwa wamejazana kwenye banda na kushangaa kuona halia watu wa kuwapa maelezo.

Wana jamvi hii imekaa je??????
 
mhhhh...........

hiii nchi kama imelogwa vile........................
 
WANA JF!

Hapa nchini Finland mjini Helsinki yapo maonesho ya kimataifa ya kutangaza utalii. Karibu nchi zote duniani zimeleta wawakilishi wa kutangaza vivutio vyao hapa ikiwa ni pamoja na jirani zetu wa Kenya.
Cha kushangaza kama kawaida ya Watanzania, jamaa waliotumwa kuiwakilisha nchi yetu katika maonesho haya ya siku saba, walikuwa kwenye banda lao kwa siku moja na nusu tu. Baada ya hapo jamaa wamepanda boti na ninavyo tuma taarifa hii wapo nchini Sweden watumbua kwa raha zao. Cha ajabu Rais wa nchi ya Finland amepita kuangalia na kujionea shughuli katika maonesho haya na alipo fika banda la Tanzania alishangaa kuona analazimika kujiokotea mwenyewe vipeperushi bila kuona wataalam wa utalii Tanzania ili kupata maelezo ya kina kuhusu vivutio vyetu. Vile vile watu wengi hapa wameonyesha nia ya kutembelea Tanzania kwani walikuwa wamejazana kwenye banda na kushangaa kuona halia watu wa kuwapa maelezo.

Wana jamvi hii imekaa je??????
selungo, hiyo ndio bongo...
hatuko serious, ni mabingwa wa kuongea
accountability is lacking
hiyo wizara ndio usiseme
halafu tunalipana kama mawaziri wa ulaya kwenda nje ya nchi
wakati matumizi halisi hayazidi 40% ya advances\hizi zote ni costs za corruption na corrupt society, there is no ownership na nchi yetu wala rasilimali

wewe umeleta hapa hiyo hoja na watawala wanaona, lakini utashangaa haohao watawala wanawapandisha vyeo hao watangaza utalii wetu waliokwenda finland kutalii

bongo ni zaidi ya ubongo
 
yaani habari kama hizi mtu unaweza
pata magonjwa ya ajabu tu mwisho wake..

hii nchi inakufanya uwe depressed.........
yaani kila mtu serikalini
hajui wajibu wake...........
 
WANA JF!

Hapa nchini Finland mjini Helsinki yapo maonesho ya kimataifa ya kutangaza utalii. Karibu nchi zote duniani zimeleta wawakilishi wa kutangaza vivutio vyao hapa ikiwa ni pamoja na jirani zetu wa Kenya.
Cha kushangaza kama kawaida ya Watanzania, jamaa waliotumwa kuiwakilisha nchi yetu katika maonesho haya ya siku saba, walikuwa kwenye banda lao kwa siku moja na nusu tu. Baada ya hapo jamaa wamepanda boti na ninavyo tuma taarifa hii wapo nchini Sweden watumbua kwa raha zao. Cha ajabu Rais wa nchi ya Finland amepita kuangalia na kujionea shughuli katika maonesho haya na alipo fika banda la Tanzania alishangaa kuona analazimika kujiokotea mwenyewe vipeperushi bila kuona wataalam wa utalii Tanzania ili kupata maelezo ya kina kuhusu vivutio vyetu. Vile vile watu wengi hapa wameonyesha nia ya kutembelea Tanzania kwani walikuwa wamejazana kwenye banda na kushangaa kuona halia watu wa kuwapa maelezo.

Wana jamvi hii imekaa je??????

Tuamini kwamba aliyewatuma atahitaji repoti ya kazi watakaporudi, na ni hapo palipo ukweli uongo hujitenga. Kwa sababu maonyesho ya siku saba, wao wanmefanya siku moja na nusu ofcourse huu ni utani ambao kimaadili ya kazi watahitajika kuadhibiwa labda iwe hiyo kazi waliajiriwa na mjomba wao na ni kazi ya kifamilia vinginevyo usalama wao kikazi siuoni.
 
Hamsemi Ukweli kuwa Nchi haina Viongozi wazuri, nchi imeoza wakumlaumu nani kama sio Viongozi wanao husika wa Wizara ya Utalii?Nchi imejaa Viongozi wala Rushwa na Mafisadi tutaendelea kweli jamani? kila kiongozi anakuwa Mfisadi Mla Rushwa na mwizi wa Mali ya Umma tutaendelea kweli?chaku shangaza hao wahusika wa hilo banda la Maonyesho wamekwenda nchini sweden kujirusha sasa kule walipotumwa kufanya shughuli za Maonyesho hawapo? Kutakuwa na Maendeleo kweli hapo kwetu Tanzania?Ama kweli MIAFRIKA BWANA NDIVYO ILIVYO
 
yaani habari kama hizi mtu unaweza
pata magonjwa ya ajabu tu mwisho wake..

hii nchi inakufanya uwe depressed.........
yaani kila mtu serikalini
hajui wajibu wake...........

mkuu hili linatapisha kabisa, ni zaidi ya kichefuchefu... hivi sheria yetu inasemaje hapa? kuna namna ya kuwashitaki kudai haki yetu? maana wamekula pesa yetu?
 
WANA JF!

Hapa nchini Finland mjini Helsinki yapo maonesho ya kimataifa ya kutangaza utalii. Karibu nchi zote duniani zimeleta wawakilishi wa kutangaza vivutio vyao hapa ikiwa ni pamoja na jirani zetu wa Kenya.
Cha kushangaza kama kawaida ya Watanzania, jamaa waliotumwa kuiwakilisha nchi yetu katika maonesho haya ya siku saba, walikuwa kwenye banda lao kwa siku moja na nusu tu. Baada ya hapo jamaa wamepanda boti na ninavyo tuma taarifa hii wapo nchini Sweden watumbua kwa raha zao. Cha ajabu Rais wa nchi ya Finland amepita kuangalia na kujionea shughuli katika maonesho haya na alipo fika banda la Tanzania alishangaa kuona analazimika kujiokotea mwenyewe vipeperushi bila kuona wataalam wa utalii Tanzania ili kupata maelezo ya kina kuhusu vivutio vyetu. Vile vile watu wengi hapa wameonyesha nia ya kutembelea Tanzania kwani walikuwa wamejazana kwenye banda na kushangaa kuona halia watu wa kuwapa maelezo.

Wana jamvi hii imekaa je??????
this is where we need to be massive and patriots
 
Wanatumia posho zao ambayo ni kodi za walala hoi kupigana mikasi na kupiga mitungi mamtoni badala ya kufanya kazi iliyowapeleka. Wabongo hatuko makini
 
mkuu hili linatapisha kabisa, ni zaidi ya kichefuchefu... hivi sheria yetu inasemaje hapa? kuna namna ya kuwashitaki kudai haki yetu? maana wamekula pesa yetu?


mkuu..
wao na mabosi wao wote wasaniii....
tuombe mungu wapate waziri kama
magufuli labda ndo unaweza kwenda
kupeleka ripoti hii....but otherwise.....
 
Hamsemi Ukweli kuwa Nchi haina Viongozi wazuri, nchi imeoza wakumlaumu nani kama sio Viongozi wanao husika wa Wizara ya Utalii?Nchi imejaa Viongozi wala Rushwa na Mafisadi tutaendelea kweli jamani? kila kiongozi anakuwa Mfisadi Mla Rushwa na mwizi wa Mali ya Umma tutaendelea kweli?chaku shangaza hao wahusika wa hilo banda la Maonyesho wamekwenda nchini sweden kujirusha sasa kule walipotumwa kufanya shughuli za Maonyesho hawapo? Kutakuwa na Maendeleo kweli hapo kwetu Tanzania?Ama kweli MIAFRIKA BWANA NDIVYO ILIVYO
nadhani bado tuna wajibu na wananchi wenzetu hata kama viongozi wetu ni wabovu, we need to change...
 
WANA JF!

Hapa nchini Finland mjini Helsinki yapo maonesho ya kimataifa ya kutangaza utalii. Karibu nchi zote duniani zimeleta wawakilishi wa kutangaza vivutio vyao hapa ikiwa ni pamoja na jirani zetu wa Kenya.
Cha kushangaza kama kawaida ya Watanzania, jamaa waliotumwa kuiwakilisha nchi yetu katika maonesho haya ya siku saba, walikuwa kwenye banda lao kwa siku moja na nusu tu. Baada ya hapo jamaa wamepanda boti na ninavyo tuma taarifa hii wapo nchini Sweden watumbua kwa raha zao. Cha ajabu Rais wa nchi ya Finland amepita kuangalia na kujionea shughuli katika maonesho haya na alipo fika banda la Tanzania alishangaa kuona analazimika kujiokotea mwenyewe vipeperushi bila kuona wataalam wa utalii Tanzania ili kupata maelezo ya kina kuhusu vivutio vyetu. Vile vile watu wengi hapa wameonyesha nia ya kutembelea Tanzania kwani walikuwa wamejazana kwenye banda na kushangaa kuona halia watu wa kuwapa maelezo.

Wana jamvi hii imekaa je??????


Kama rais JK akienda nje anakwenda kwenye shopping na kubembea pamoja na kupima akili unafikiri wengine watafanya nini kama sio maajabu.
 
Mkuu mwenyewe anabembea sembuse hawa? ila tatizo ni elimu .utakuta hawa jamaa wamesomea mambo mengine kabisa ila wameweka na baba zao kwenye sehemu nyeti sAsa ww unategemea nini?
 
Ninaumia Moyo sana ninaposikia habari kama hizi......anyway ngoja nimalize masomo yangu ya fani ya UTALII then nije toa mchango wangu mdogo kwenye hii sector.......serious we guys have to change to the maximum but kwa mwendo huu maendeleo tutaishia kuyaona kwa wenzetu tu kila siku.
 
WANA JF!

Hapa nchini Finland mjini Helsinki yapo maonesho ya kimataifa ya kutangaza utalii. Karibu nchi zote duniani zimeleta wawakilishi wa kutangaza vivutio vyao hapa ikiwa ni pamoja na jirani zetu wa Kenya.
Cha kushangaza kama kawaida ya Watanzania, jamaa waliotumwa kuiwakilisha nchi yetu katika maonesho haya ya siku saba, walikuwa kwenye banda lao kwa siku moja na nusu tu. Baada ya hapo jamaa wamepanda boti na ninavyo tuma taarifa hii wapo nchini Sweden watumbua kwa raha zao. Cha ajabu Rais wa nchi ya Finland amepita kuangalia na kujionea shughuli katika maonesho haya na alipo fika banda la Tanzania alishangaa kuona analazimika kujiokotea mwenyewe vipeperushi bila kuona wataalam wa utalii Tanzania ili kupata maelezo ya kina kuhusu vivutio vyetu. Vile vile watu wengi hapa wameonyesha nia ya kutembelea Tanzania kwani walikuwa wamejazana kwenye banda na kushangaa kuona halia watu wa kuwapa maelezo.

Wana jamvi hii imekaa je??????

Hao ndiyo wabongo haswa.


Wakirudi Tanzania utashangaa wanapewa promosheni, kwani huenda katika ile posho yao kulikuwa na shea fulani ya bosi; kwa hiyo hawana wasiwasi kabisa.


Hebu unaweza kutuambia banda la wenzetu waKenya lilikuwa katika hali gani? najua kuwa wako serious sana katika hiyo sekta ya utalii.
 
Tusiwalaum, labda wanataka kufungua banda la kutangaza utalii sweden, inawezekana walisoma mazingira ya finland wakaona hakuna wateja wa kutosha, hivyo bora kufunga na kuhamia huko waliko sasa!
 
Watumishi wa serikalini wana matatizo hayo sana,wao badala ya kuenda kufanya kazi wanenda kutalii. Hawa jamaa wamelaaniwa.
 
........Tena wanaweza kuzamia hawa huko huko mamtoni wasirudi tena bongo, kuna watu walipelekwa Canada kwenye semina, baada ya semina kwisha wakaamua kwenda kuzamia USA. Akili za baadhi ya watanzania muda mwingine mchemsho kweli kweli.
 
Wakishuka na ndege uwanjani, waongozwe mojakwamoja kwenye karandinga na kusomewa mashitaka ya uhujumu uchumi!
Wametuaibisha sana washenzi hawa!
 
Ninaumia Moyo sana ninaposikia habari kama hizi......anyway ngoja nimalize masomo yangu ya fani ya UTALII then nije toa mchango wangu mdogo kwenye hii sector.......serious we guys have to change to the maximum but kwa mwendo huu maendeleo tutaishia kuyaona kwa wenzetu tu kila siku.


Ndugu yangu pole saana kama una ndoto hizo sahau kabisa kwani kama unatarajia kuomba kazi TTB au TANAPA, NI ngomu saana kuipata kwani kuna watu wamejijengea himaya huko na familia zao

unless una mtu wa..............? malizia
 
Back
Top Bottom