Watangazaji bora wa michezo kizazi hiki

Kuna huyu dogo wa Magic FM, George Ambangile, yuko smart sana!
 
Mkuu hujamtaja Dr.leaky, Edo kumwembe kitenge hawa wawili wapo dstv means wanauwezo mkubwa tu.....dauda anajitahidi mno pia
 
Mkuu hujamtaja Dr.leaky, Edo kumwembe kitenge hawa wawili wapo dstv means wanauwezo mkubwa tu.....dauda anajitahidi mno pia
Dr leakey nae mchambuzi au msimuliaji tu jamaa simkubali kabisa
 
Inaelekea hujui tofauti ya mtangazaji na mchambuzi umetuchanganyia wrote tu kwa mfano shafii siyo mtangazaji ni mchambuzi wa michezo muwe mnauliza kwanza!!...yaani umechanganya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…