Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Watangazaji wa kipindi cha Transformer cha E FM wamekosoa mtindo mpya wa nywele wa Harmonize, wakifananisha muonekano wake na ule wa msanii Harmo Rapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani anafanya nao tu biashara na sio kuinunua moja kwa mojaNasikia bull dozer anataka inunua hiyo i efuemu ni kweli?
iefem siku hizi imeshuka kiwango.Nasikia bull dozer anataka inunua hiyo i efuemu ni kweli?
huko......Nadhani anafanya nao tu biashara na sio kuinunua moja kwa moja
Wamekosa cha kujadili sasa kazi yao umbeaWatangazaji wa kipindi cha Transformer cha E FM wamekosoa mtindo mpya wa nywele wa Harmonize, wakifananisha muonekano wake na ule wa msanii Harmo Rapa.
View attachment 3197627
Umbea ndio kazi yaoWamekosa cha kujadili sasa kazi yao umbea
Elimu ya kuokoteza na kuungaungaUmbea ndio kazi yao
Kwahiyo sasa ni zamu ya Harmonize kumuiga Harmorapa?😀Watangazaji wa kipindi cha Transformer cha E FM wamekosoa mtindo mpya wa nywele wa Harmonize, wakifananisha muonekano wake na ule wa msanii Harmo Rapa.
View attachment 3197627